Alphonce Lusako
Member
- Aug 31, 2011
- 35
- 27
Hasira za wasomi zawaka udsm.
Kesho ni mgomo wa wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam dhidi ya utawala wa chuo hicho kuwataka wenzao 48 waliofukuzwa chuo kwa sababu ya mgomo uliofanyika tar 11-11-2012 kuwatetea wanafunzi ambao hawakudhaminiwa mikopo.
Mungu ibariki tz, mungu nibariki udsjm.
Kesho ni mgomo wa wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam dhidi ya utawala wa chuo hicho kuwataka wenzao 48 waliofukuzwa chuo kwa sababu ya mgomo uliofanyika tar 11-11-2012 kuwatetea wanafunzi ambao hawakudhaminiwa mikopo.
Mungu ibariki tz, mungu nibariki udsjm.