Mgomo UDSM, Mabibo hostel

Mgomo UDSM, Mabibo hostel

Heheh block G...kama napaona vile...acheni uduwanzi nyie chuo pipo,cha msingi someni mchana..
Ndo yaleyale hata shuttle za hostel walikuwaga wanataka zipewe special favour kwenye folen et kisa wanawahi darasani,WTF....kwani watanzania wenzenu hawana haraka,kwani na wao hawaupendi umeme??
Af wagomaji wengi ni wale wanaotoka sitimbi na mikoani huko,na umeme makwao hamna,..

Ha ha haa we ulikuwa unakaa kule ukutani kibanda cha mlinzi eeenh???!!!!!!
Wa sitimbi hawana alternative ujue.;wa town kikikomaa tu utawaona.haooo kila na mtu na kwao ,mchana discussion jion home kukamua!!!!!

Sasa huyo wa Zoisa mjini ana.ndugu????!!!!
 
Wagomee kupanda kwa gharama za umeme na sio umeme katikakatika kwani hiyo ni mazoea. Wakirudi mtaani kuna shida bora Wagomee bei kwanza
 
Bora wagome kwani umeme ukirudi huko may be na huku kwetu tbt garage utarudi
 
Wapuuuuuz wakubwa nyie wasemaj wenu wakuuu wameukuta umeme ubungo pale nao mwajfanya kugoma nn asasaa,mnapewa boom y msinunue taaa za kuchaj for emergenc?????! Mmelaaaniwa sijui kizaz cha mwinyi hk matatzo matupu

nyie washenzi wa vuo vya kata ndo mnajifanya kuleta upumbavu wenu. Vyuo vyenu vya udom vya kata havina umeme msilinganishe na chuo nambari 4 africa. si tunakamua bana kama umeme haupo si lazma tuudai
 
Tumbaku zenu mmejua kuvaa suruali za dada zenu mnasumbua tutawarudisha vijijini

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Pombe za weekend/mapinduzi zitakuwa zimekulevya si bure. Hilo haliwaondolei haki ya kuwa na umeme.
 
Sasa hata wakiandamana itasaidia nn,umeme si kwamba umekatika bure itakua ni hitilafu,wakiuacha bila marekebisho pia msingeelewa,mnatakaje,kwani mkigoma ni kwa faida ya nani?mitihani mnafanya ucku?khaaaaaa!

"Itakuwa" ndiyo nini? Hatuko enzi za kupiga ramli hapa, kwa nini Tanesco wasitoe taarifa?
 
Heheh block G...kama napaona vile...acheni uduwanzi nyie chuo pipo,cha msingi someni mchana..
Ndo yaleyale hata shuttle za hostel walikuwaga wanataka zipewe special favour kwenye folen et kisa wanawahi darasani,WTF....kwani watanzania wenzenu hawana haraka,kwani na wao hawaupendi umeme??
Af wagomaji wengi ni wale wanaotoka sitimbi na mikoani huko,na umeme makwao hamna,..

Kutokuwepo kwa umeme huko walikotoka siyo justification ya Tanesco kukata umeme bila taarifa. Kusoma mpaka kufika mabibo penye umeme ni achievement na kupata huduma ya umeme ni haki yao siyo favour.
 
acha kuimba taarabu wewe! hii ni hoja ya msingi halafu mwaleta chuki binafsi zenu!!

ukipewa boom unakimbilia tshirt na jeans na ma iphone badala ya kununua taa za betr .kaz yenu kujirusha tu.fyuu kueni madogo
 
nahc kuna wafu humu jf! hv m2 na akili zake analinganisha umuhimu wa umeme kwa secondary na chuo kikuu? anyway, sio kosa lenu. chini ya 20% ya walioanza primary ndio hufanikiwa kufika chuo kikuu!

anzia chuo basi
 
Poleni sana wanafunzi wa UDSM. Huo ni mwanzo tu wa utungu.Kinachowaponza ni mfumo mpya wa ajira katika sekta za kimataifa.Unapata ajira kwa kufuata chuo chako kipo rank gani duniani.Watoto wa wakubwa na baadhi ya matajiri waliopeleka watoto wao vyuo vya nje ambavyo kwa bahati mbaya vimepitwa na UDSM KATIKA RANKING,wamechukia sana,maana kila waendapo kwenye interviews za mashirika ya kimataifa,wanabwagwa maana vyuo walivyosoma vimepitwa na UDSM.

Walijaribu sana kukihujumu wakati ule kilipokuwa cha 13 barani Afrika,walikinyima pesa za utafiti,wakapunguza pesa za matumizi na walijaribu bila mafanikio kuwachafua wanaomaliza UDSM.Japokuwa chuo kiliporomoka mpaka kuwa cha 25,lakini kikajipanga upya mpaka kimekuwa cha nne Afrika jambo ambalo limewaudhi sana wakubwa.Hongereni sana wanajumuia wa UDSM kwa kuiletea sifa TZ.

Kazi kubwa ya mwanafunzi wa chuo kikuu chochote kile duniani,ni kusoma tena kusoma hasa,unapomnyima umeme mwanafunzi wa chuo kikuu.unamuathiri vibaya mno,kama kuna eneo ambalo halitakiwi kupata mgawo wa umeme ni chuo kikuu,ndio maana vyuo vikuu mikoani havipati mgao wa umeme, nenda Dodoma,Mwanza,Mbeya,Iringa,Arusha hata Moshi,maeneo ya vyuo vikuu hayakatiwi umeme hovyo.

Enzi za mwalimu,UDSM ilipewa umeme daima,hata wakati tunasoma sisi UDSM mwanzoni mwa miaka ya tisini,tulikuwa hatukatiwi umeme,hata mgawo uwe mkubwa kiasi gani,sisi tulipewa umeme maana watawala walijua kazi yetu ni kusoma.Kinachowaponza nyie wanafunzi mnaosoma sasa UDSM,ni ubinafsi wa baadhi ya viongozi Waliowapeleka watoto wao kusoma nje ya nchi kama Kenya,Uganda,India,China hata Ukraine wakidhani watoto wao watapata elimu bora kumbe wamepotea maboya,wameruka majivu yaliyopoa wamekanyaga moto.

Kwa jinsi viongozi wetu walivyo wabinafsi,sitashangaa nikisikia chuo chenu kikifanyiwa vitinbi vingi zaidi,badala ya kukiboresha chuo hicho ili kiwe cha kwanza,viongozi wetu watakipiga vita.Na kwa watanzania wachache wapumbavu nao watawaunga mkono,wasameheni maana hawajui walitendalo.Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki UDSM.Jipeni moyo wanajumuia wa UDSM,hapaTanzania kwa viongozi tulionao mtapata dhiki,lakini mkiwa na umoja na kunia mamoja hakika mtayashinda mateso yote yaliyo mbele yenu.Amini nawaambieni,bado kitambo kidogo mateso yenu yote yatakwisha,tuombe Mungu atuvushe salama mwaka 2015 ili mpate kupumzika toka kwenye dhiki kuu mnayopitia,Amina.
 
ni masaa 35 sasa tangu umeme umekatika hapa mabibo hostel, vijana wamekusanyika hapa block G tangu jioni kujadili nini cha kufanya. TANESCO tafadhali msichafue hali ya chuo chetu. Mungu ibariki TANGANYIKA.

Nhoja igp Mangu aje aanze Mwaka na ninyi, au Mmesahau kaul ya Mtoto wa Mkulima?
 
Duh...mimi nimejichimbia huku Mbezi Kwa Msuguri.....taratiiibu ninapiga msuli tembo.....hali ni mbaya....kesho nitarudi Mabibo kufanya kunji pale TANESCO hadi Felician Mramba utupe umeme
 
wanataka kucharge mablackberry na masumsung galaxy yao ya bumu.
 
Umeme umerudi Thanks kwa walioanzisha mgomo !Garage makuburi umerudi.MLIOKUWA MNATOKA POVU ENDELEENI NA ZENU
 
Back
Top Bottom