Mgomo UDSM, Mabibo hostel

Mgomo UDSM, Mabibo hostel

yani unayesema kwetu.hakuna umeme hata.huna.akili we unavosafr na kukaa kwenye ct ndan ya gar mbona kwenu.hamna vt acha ujinga huo
 
Heheh block G...kama napaona vile...acheni uduwanzi nyie chuo pipo,cha msingi someni mchana..
Ndo yaleyale hata shuttle za hostel walikuwaga wanataka zipewe special favour kwenye folen et kisa wanawahi darasani,WTF....kwani watanzania wenzenu hawana haraka,kwani na wao hawaupendi umeme??
Af wagomaji wengi ni wale wanaotoka sitimbi na mikoani huko,na umeme makwao hamna,..

Degree ya Chupi hii, sio bure!, by the way ni dhihaka kukata umeme kwa masaa 35 bila kueleza sababu
 
ni masaa 35 sasa tangu umeme umekatika hapa mabibo hostel, vijana wamekusanyika hapa block G tangu jioni kujadili nini cha kufanya. TANESCO tafadhali msichafue hali ya chuo chetu. Mungu ibariki TANGANYIKA.

baada ya kash kash mnamo saa 00:15 usiku umeme umerudishwa mabibo na wimbo wa taifa unaimbwa ili watu wakasome.
.....
saa 00:32 umeme umekatwa tena na wanafunzi wanaanza kujimobilize upyaaa

........
kama kanyamazongo za movie vile, saa 00:48 wamerudisha tena

unanikumbusha wakati wetu tukiwa tunagomea sera mbovu za serikali watu kama akina silinde(mbunge),owawa(CAG pia usaalma wa taifa),nasari(mbunge) badae tukakutana na wasaliti kama akina salum hapi(kibaraka ccm)...wakati tunakaribia kuondoka wakaja akina emekha,francis ndunguru,florian ndunguru ni hawa jamaa ndo waliokuwa mabingwa wa migomo pale chuo kikuu cha Dar es salaam ingawa mwisho wa wengi wao ilipelekea kuondoka ila huko walipo Mungu awalinde ili waendeleze yale mema walioyafanya mana walipoteza vitu vyao vya msingi sababu ya weng..
 
nahc kuna wafu humu jf! hv m2 na akili zake analinganisha umuhimu wa umeme kwa secondary na chuo kikuu? anyway, sio kosa lenu. chini ya 20% ya walioanza primary ndio hufanikiwa kufika chuo kikuu!

Kwenda zako www nan wataka muongopea,chuo kikuu kitu gan,kama CA tu sio ya kuikeshea kama darasan upo makin test unaichomoa bila hata keshea,UE mdo labda unambie bt siamin kama bla umeem wa taanesco ww huwezo reverse yale utajuayo?,popor u
 
Naungana na wewe mkuu badala ya kutafuta solution wanataka kuandamana na kusababisha more problems wapigwe tu.

1.Nyie watu hamko sawa! Yaani umeme umekatika masaa 35 almost siku mbili bila maelezo/taarifa yoyote na hakuna namna nzuri ya kuwasiliana tatizo vijana kukonvey hii problem kwa style hii nyie mnasema wapigwe tu?
2. Yaani kama wametoka vijijini na huko Kingonsela ulikokusema so waendelee kuona kawaida swala la kutokuwa na uhakika wa umeme? That's to say watanzania walioko vijijini hawana haki ya kupata umeme? Mtu anayewaza kwa namna hii hana akili kabisa.
3. Miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru bado hakuna uhakika wa umeme kwa watanzania 14% wanaoupata kwa sasa? 86% ya watanzania hawajawahi kutumia umeme pamoja na kuwepo raslmali kama makaa ya mawe, gesi asilia, upepo, jua, geothermal, maji, mawimbi ya bahari ambazo zingesaidia kuzalisha umeme wa kutosha?
4. Kukosekana kwa umeme wa uhakika 21st century wakati kuna serikali uliyo na mamlaka kusimamia raslmali na kodi Ni upumbavu. Wananchi wanatakiwa kuona kodi wanayolipa na raslimali zao zikiwarudia katika mtindo wa huduma kama maji, umeme, masoko, elimu, afya msionyeshe ujinga wenu hapa nyie malimbukeni wa mafanikio.
 
we tumia akili unazan dunia ya leo ni ya watu kuishi bila umeme na ukzingatia kuna mitihan kila uchao we ni mpuuzi ndo mana umeandika ujinga kama huu

We ndo mjinga mitihan n ya kushtukixa au ratba ndo inavosema?mtu level ya chuo kikuui bdo wataka kariri unatatajia nn sasa?wacha uchafuliwe tuuu mtihan yenyewe ipo wapi sa hv sio wakat wa UE, au mwapiga inter college competition?hahahaha shame on yo face
 
da mna hamu na kurudi kwenu nyie waulizeni hao 3rd year waanbie walivyokuwa wanaingia first year walikuta stor gani inaendelea hapo chuon eti umeme umekatwa mnagoma?????? DOGO USHAKUTANA NA SURA YA MKANDALA????????? UNAMJUA MKUU WA CHUO? Simaanishi V.C? sasa kama una hamu ya kuwajua kanunue taa ya kuchaji umeme ukirudi uchaji usome utazijua hizo sura siku ya graduu vinginevyo utakutana na barua kwa dean of student hapo yombo
 
unanikumbusha wakati wetu tukiwa tunagomea sera mbovu za serikali watu kama akina silinde(mbunge),owawa(CAG pia usaalma wa taifa),nasari(mbunge) badae tukakutana na wasaliti kama akina salum hapi(kibaraka ccm)...wakati tunakaribia kuondoka wakaja akina emekha,francis ndunguru,florian ndunguru ni hawa jamaa ndo waliokuwa mabingwa wa migomo pale chuo kikuu cha Dar es salaam ingawa mwisho wa wengi wao ilipelekea kuondoka ila huko walipo Mungu awalinde ili waendeleze yale mema walioyafanya mana walipoteza vitu vyao vya msingi sababu ya weng..

Umemsahau Odong Odwar
 
------- zenu ndo maana hamkufaulu ,mmepelekwa pelekwa na dv 3 zenu nyie @ssf&%$*
 
1.Nyie watu hamko sawa! Yaani umeme umekatika masaa 35 almost siku mbili bila maelezo/taarifa yoyote na hakuna namna nzuri ya kuwasiliana tatizo vijana kukonvey hii problem kwa style hii nyie mnasema wapigwe tu?
2. Yaani kama wametoka vijijini na huko Kingonsela ulikokusema so waendelee kuona kawaida swala la kutokuwa na uhakika wa umeme? That's to say watanzania walioko vijijini hawana haki ya kupata umeme? Mtu anayewaza kwa namna hii hana akili kabisa.
3. Miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru bado hakuna uhakika wa umeme kwa watanzania 14% wanaoupata kwa sasa? 86% ya watanzania hawajawahi kutumia umeme pamoja na kuwepo raslmali kama makaa ya mawe, gesi asilia, upepo, jua, geothermal, maji, mawimbi ya bahari ambazo zingesaidia kuzalisha umeme wa kutosha?
4. Kukosekana kwa umeme wa uhakika 21st century wakati kuna serikali uliyo na mamlaka kusimamia raslmali na kodi Ni upumbavu. Wananchi wanatakiwa kuona kodi wanayolipa na raslimali zao zikiwarudia katika mtindo wa huduma kama maji, umeme, masoko, elimu, afya msionyeshe ujinga wenu hapa nyie malimbukeni wa mafanikio.

Hili nalo!! sijui ndo linahamasisha vijana wagome! We all know that Tanzania yetu haiko stable kwenye suala la nishati na teknolojia inachangia pia,kama unaona una haki ya kupata umeme mfululizo mpeleke baba ako akafanye kazi Tanesco ili umeme usikatike, we unafikiri Tanesco wanapenda umeme ukatike katike, acha utoto mtu mwenyewe umesoma Isimani huko ,periphery of the periphery huko umeme wa kuhadithiwa
 
Back
Top Bottom