broo 2pen updates achana na hawa mapuppet wa humu jamvini......vp Mukandala na wenzake mmeshachonga nao?......
Elimu haijawakomboa nyie.
Maku weweeWanafunzi wameishiwa aisee,sasa mkirudishwa home nauli mtatoa wapi?
kwa hiyo muamala ukisoma mnawatosa wenzenu waliokuwa suspended?
ya aliekupush sio!Maku wewee
weeeee...........hebu achana na hawa watoto.ya aliekupush sio!
Ni kuhusu haki ya wanafunzi waliofukuzwa na hatma ya fedha ya kujikimu.
Chezo limeanza mida ya saa 4 hivi, FFU wametanda eneo la chuo tayari kuwapiga mabomu wanafunzi.
Source: niko eneo la tukio
Elimu haijawakomboa nyie.
Elimu haijawakomboa nyie.
Hivi wewe umesoma wapi wewe!!
Hovyo kabisa!!
We mzee naona ndo hujakombolewa na elimu, kwa hiyo mnafurahia kuibia hela wanafunzi? Ushindwe na ulegee