MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
Wakuu mliepo eneo hilo tupeni updates nn kimeendelea mpaka sasa?
Update Gani hapo. Ninavyowajua hawa watoto wa chuo. Wakitokea askari wote mbio na wanaanza kulia.
Hakuna vijana wajasiri hapo chuo. Enzi zetu pangekuwa hapatoshi, sio hao masharobaro wa siku hizi.