Ukl sahihi mkuu.Kaandikiwa
Yeye ni miongoni mwa viongozi wa AULkn yale yalikua maamuzi ya SADC+AU mkuu.
Ni mwenyekiti wa AU,so lazima afuate msimamo wa viongozi wa AU wanachokisema.Yeye ni miongoni mwa viongozi wa AU
Tweets za Jiwe huwa anaandikiwaKaandikiwa for sure.
Huwa unalipwa Elfu 7 kila cku?au kila unapo-comment na kuanzisha uzi wa Chadema?au trend ya malipo yako ikoje?Funzo kwetu chadema juzi tulimshabikia felex!
Hana lolote huyo mnampa sifa bure tu yeye mwenyewe ni kibaraka wa nchi za magharibi wanamtumia tu wakimchoka wanamtimuaNguvu ya Kagame imeshafika Congo
Kaandikiwa
Maskini AfricaMgombea wa upinzani nchini DRC, Martin Fayulu amejitangaza kuwa Rais wa taifa hilo tajiri kwa madini, huku akiwasihi wananchi & jumuiya za kimataifa kutomtambua na kumpa ushirikiano mtu mwingine atakayedai kuwa kiongozi wa taifa hilo. Pia ameitisha maandamano ya amani nchi nzima.
View attachment 1000419
Haiwezekani atangazwe John Cheyo ameshinda dhidi ya Chama tawala na mgombea wa UKAWA!Yuko against Felix anasapoti kati ya wale wengine
😂😂😂😂😂😂Ukl sahihi mkuu.
Mkemia hana ngeli za namna hiyo.
Zake ni Intapretinyuwaa, fenti fordi,....
Hakiwezi nuka mkuukimenuka
washakufa 34 adi sa ivi (wanaojulikana) baada ya uchaguzi na uyu phala amecall for protest, maana yake wafaji watazidi ongezeka yeye akila bata na mkewe wakijifungia ndaniHakiwezi nuka mkuu