Mgombea wa upinzani nchini DRC, Martin Fayulu amejitangaza kuwa Rais wa taifa hilo tajiri kwa madini, huku akiwasihi wananchi & jumuiya za kimataifa kutomtambua na kumpa ushirikiano mtu mwingine atakayedai kuwa kiongozi wa taifa hilo. Pia ameitisha maandamano ya amani nchi nzima.