Mgombea wa Republican afunguka kuhusu Afrika

Mgombea wa Republican afunguka kuhusu Afrika

Jamaa kaongea ukweli tusiopenda kuusikia. Asante Trump kwa kutuamsha
 
Tatizo ni kujipendekeza kwa wazungu.Lugha mnatumia ya kwao, vitabu vya kwao, mfumo wa elimu wa kwao.KILA KITU. Inafika mahali watu weusi tunadharauliana kwa kutumia vigezo vya colonialists. Wacha awatukane tu kwasababu hakuna namna nyingine.
 
Huo ni uongo. Ni uzushi.

Cha kusiikitisha zaidi ni kuona idadi ya wapumbavu wanaouamini.
 
Ila ni mbaguzi..huwezi ku ban waislam wasiingie amerika ,, ile nchi saiv 5%waislam na wanaongezeka kila siku.. itakua hujawatendea haki

Na hapo ndo pa kujiuliza iweje waislam waongezeke marekani lakini wakristo hawongezeki ktk nchi za kiislam?
 
Ila ni mbaguzi..huwezi ku ban waislam wasiingie amerika ,, ile nchi saiv 5%waislam na wanaongezeka kila siku.. itakua hujawatendea haki


Wanalazimisha kwenda America kwani kwao? Si wapige kelele wakikatazwa kwenday Maka? Amerika nako ni Maka?

Kwanza hao watu ni washenzi tu wamejaa ubinafsi. Wakristo wakitangaza imani yao katika nchi za hayo, wanauawa, lakini bila haya yanajitangaza kuongezeka kwenye nchi za watu, bila kujua ongezeko hilo ni kwa sababu ya ubindamu wa hao wenyeji. Laiti kama wanglikuw wanayaua kama yanavyoua Wakristo, yangeongezekaje?

Waislam wakitaka kukubalika duniani waache unyama na ujinga.

Vinginevyo, wazo la ku recolonize Africa, ninalikubali kwa200%. Afadhali kuwa chini ya America kuliko kuwa chini ya mkoloni ccm na akina jk, ma katani, lizimoja na mashsetani wengine.
 
Huyu atapigwa hana jipya anatukana Africans na Muslim ili aungwe Mkono na wazungu wasopenda weusi
 
mimi siamini kama alisema hivyo lakini katuambia ukweli, tujitafakari sana waafrika tubadilike
 
Mbona hayo maneno hayafananii kuzungumzwa na mmarekani!!
Yamejaa umbeya wa kikenya Kenya!

ni kwel kwa sababu huyu jamaa ana mambo ya ajabu kinoma na akipata urais,uku afrika na waislamu kwa ujumla tutapata shida
 
Huu ujumbe si kwa wakenya tu ni kwa watu weusi wote wengine mmekazana Kenya Kenya unasahau kuwa viongozi wako wanaiba huku wanaficha mataifa ya nje
 
Wanalazimisha kwenda America kwani kwao? Si wapige kelele wakikatazwa kwenday Maka? Amerika nako ni Maka?

Kwanza hao watu ni washenzi tu wamejaa ubinafsi. Wakristo wakitangaza imani yao katika nchi za hayo, wanauawa, lakini bila haya yanajitangaza kuongezeka kwenye nchi za watu, bila kujua ongezeko hilo ni kwa sababu ya ubindamu wa hao wenyeji. Laiti kama wanglikuw wanayaua kama yanavyoua Wakristo, yangeongezekaje?

Waislam wakitaka kukubalika duniani waache unyama na ujinga.

Vinginevyo, wazo la ku recolonize Africa, ninalikubali kwa200%. Afadhali kuwa chini ya America kuliko kuwa chini ya mkoloni ccm na akina jk, ma katani, lizimoja na mashsetani wengine.

fake id zinatusaidia kujua waislam tunachukiwaje
au lah?,,,,,,,,,,,,,,lakini jibu linajulikana!
 
Huyu jmaa tunamuombea aende ikulu maana atsaidia sna nchi za Africa zjtegemee maana hatutegemei kiongz wa Africa atoke kavalia suti yke anaenda kuomba msaada marekani hku akjua rais ni Donald trump atampa makavu live na atamtimua maana jmaa kashasema Usa sio dampo la mattzo ya nchi zngne
 
Na hapo ndo pa kujiuliza iweje waislam waongezeke marekani lakini wakristo hawongezeki ktk nchi za kiislam?

. kula like kama buku hivi mkuu.....ndugu zetu hawa wao mara zote hujiona wananyanyaswa....wanaonewa dini yao bora kuliko zingine.....eti kama sio muhislam na hujuikutamka kuran unachinjwa....haki ya kuabudu iko wapi sasa?
 
Back
Top Bottom