Mgombea wa CCM Tarime akataa matokeo

Mpita Njia

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
6,997
1,163
Habari zinazotangazwa na TBC1 hivi sasa zinaeleza kuwa mgombea wa ubunge wa CCM huko tarime, Bwana Kangoye amekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chademe, bwana Mwera.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.
 
Habari zinazotangazwa na TBC1 hivi sasa zinaeleza kuwa mgombea wa ubunge wa CCM huko tarime, Bwana Kangoye amekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chademe, bwana Mwera.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.

Mfa maji huyo......
 
Habari zinazotangazwa na TBC1 hivi sasa zinaeleza kuwa mgombea wa ubunge wa CCM huko tarime, Bwana Kangoye amekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chademe, bwana Mwera.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.

Wanalalamika nini sasa hawa CCM!! wakubali kushindwa tu..
 
Habari zinazotangazwa na TBC1 hivi sasa zinaeleza kuwa mgombea wa ubunge wa CCM huko tarime, Bwana Kangoye amekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chademe, bwana Mwera.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.

Kubali matokeo na songa mbele na kujiandaa na 2010. CCM ndio chama tawala, kama umeshindwa naamini ni kwa hakika kabisa. Ni ngumu kuamini mtu wa CCM akisema ameonewa.

Kasoro haziwezi kukosekana katika chaguzi za Tanzania, lakini kwa chama tawala kulalamikia kasoro tena kwa Tanzania naona haiingii kichwani.
 
Habari zinazotangazwa na TBC1 hivi sasa zinaeleza kuwa mgombea wa ubunge wa CCM huko tarime, Bwana Kangoye amekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chademe, bwana Mwera.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.

amechanganyikiwa huyo, polisi wao, msimamiwa wa uchaguzi wao, tume ya uchaguzi yao halafu anakataa matokeo! CCM ilishatangaza kwamba itakubali matokeo ya aina yeyote, sasa nini tena?. Huyu hata angepata Ubunge asingewatumikia wananchi bali tumbo lake.

Kwanza polisi walipaswa wawe wameshamchukua na kumweka ndani kwa kuhusika kwake katika vurugu zilizotokea Tarime. Hata hivyo sheria ipo wazi akate rufaa mahakamani.
 
Duh huyu fisadi kuna siku atakuja kumkataa hata baba yake.Ukishindwa unakubali siyo kuleta visingizio vya kijinga.Bwana Kangoye inamaana wapiga debe wako Makamba,Msekwa,Tambwe Hiza na Ustadhi Ngeleja hawakuona hizo kasoro. Kama ungeshinda ungeongea hizo pumba au kwasababu umeshindwa unaanza longolongo.
 
Kwani hajui sheria za uchaguzi?

Msimamizi akishatangaza, hayo ndiyo matokeo halali. Kilichobakia ni yeye J3 awahi Mwanza, Mahakama Kuu, kwa minajili ya kufungua kesi kupinga matokeo!
 
Halafu kwa taarifa tu ni kuwa huyu jamaa naye inawezekana KIHIYO. Taarifa tulizonazo ni kuwa amesaini matokeo sasa ngebe za nini. Ajipange aache blabla hapa. Umashuhuri hauji kwa kelele. Hata sisiemu walilielewa hilo. Pia tunataka tukufungulie kesi ya kusababisha kuvunjika kwa AMANI. Kaka mahakama Kuu Mwanza inakuhusu kama uko tayari. Walikupelekea askari wa miavuli lakini haikusaidia kitu.
To win and to loose is part of game. You have lost brother!!!! Tchao,,, Ha ha haaaaaaaaaaa
 
Yes ni kweli uchaguzi haukuwa wa haki kama ungekuwa wa haki CHADEMA wangepata 80% CCM 19%
 
Kubali yaishe,Pamoja na dola nzima iliyokuwa TARIME Bado anaona hakukuwa na demokrasia?pole sana
 
Hela alizotoa usiku ule zinamuuma; amesahau kuwa kwanza kwa kutoa hela alifanya kosa/dhambi mbaya kwa watanzania; pia akiwa Mwana-CCM kulalamika ni kashfa nyingine; Amebaki Nape naye aone kuwa si lazima uwe CCM ndio ufanikiwe; Vijana sasa wasimamie rasilimali zao maana wazee waliojaa zaidi CCM wameshindwa kutunza mali zetu za kesho; tushike hatamu sasa kupitie vyama vingine; ndani ya CCM hupati kitu
 
ananikimumbusha gazeti lauhuru limeandika kuwa ccm ilikuwa inaongoza kata 11 kati ya 20, huenda alikuwa najumlisha hizo data za gazeti la uhuru akakuta msimamizi ameshatangaza matokeo mengine.

pia anakumbuka tshs 600m alizotoa kama alivyodai kuhimiza maendeleo tarime. amesahau kuwa tarime si kama sehemu nyingine za tz

nimemwona makamba kwenye star tv akiwa mwanza akikiri kushindwa! hawakuwasiliana na kangoye? au baada ya kupata fununu za kushindwa na kuambiwa na jk waondoke tarime haraka, walisambaratika bila kuagana?
 
kuna mtu aliwaonya wagombea hapa nadhani ni mwita aliyehamia chadema, kuwa wasichochea vurugu kwa kushawishiwa na wapiga debe wa toka dsm, kangoye amebaki mkiwa tarime, makamba, hiza tambwe na akina msekwa wamelala mbele baadaya kubwaga! hawakuthubutu kulala tarime baada ya kupata fununu za kushindwa, sasa wengine wako mwanza, dsm, sijui mtikila, mbatia na mvungi mko wapi, ila nina uhakika ngawaiya amewasili moshi jioni hii kwa kudandia lifti
 
Kubali matokeo na songa mbele na kujiandaa na 2010. CCM ndio chama tawala, kama umeshindwa naamini ni kwa hakika kabisa. Ni ngumu kuamini mtu wa CCM akisema ameonewa.

Kasoro haziwezi kukosekana katika chaguzi za Tanzania, lakini kwa chama tawala kulalamikia kasoro tena kwa Tanzania naona haiingii kichwani.

Ni sawa kabisa! hakuna namna nzuri ya kukata rufaa zaidi ya kukata rufaa kwa wananchi wenyewe kama anaona kaonewa 2010 is just round the corner asubiri akate rufaa kwa wananchi.

The way huyu jamaa anavyopayuka ovyo sadly i have to congratulate Tarime people for electing Chadema MP
 
Ni sawa kabisa! hakuna namna nzuri ya kukata rufaa zaidi ya kukata rufaa kwa wananchi wenyewe kama anaona kaonewa 2010 is just round the corner asubiri akate rufaa kwa wananchi.

The way huyu jamaa anavyopayuka ovyo sadly i have to congratulate Tarime people for electing Chadema MP

Nafurahi sana kusikia maneno kama haya toka kwako. Hongera sana kwa hilo.
 
Kwa Tarime CCM kushinda ni kazi, manake hata kama sehemu nyingine huiba pale si rahisi. Wale jamaa wako Ngangari kinoma. Sasa Mtikila alienda Tarime kuambulia jeraha na kushonwa, kapata kura chache vibaya mno. Viongozi wa upinzani shikamaneni, raia chini wameshashikamana, onesheni njia.
 
Back
Top Bottom