Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Habari zinazotangazwa na TBC1 hivi sasa zinaeleza kuwa mgombea wa ubunge wa CCM huko tarime, Bwana Kangoye amekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chademe, bwana Mwera.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.