dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,990
Mgombea urais wa JMT ndugu John Magufuli muda mfupi ujao anatarajia kufanya mkutano wa kampeni hapa Tunduma. Pamoja na mambo mengine yanatatajiwa kutoka maneno makali yasiyo ya kawaida kabisa kutoka kwa mgombea huyo kufuatia mgogoro mkubwa uliopo baina ya wanaccm hapa Tunduma.
Mgogoro huo unapeleka wagombea ubunge wa majimbo ya Tunduma na Momba kukosa uungwaji mkono ndani ya chama hicho na hivyo kuonyesha dalili za waziwazi za CCM kushindwa uchaguzi mkuu ujao ndani ya wilaya hii.
Stay tuned
Picha: Baadhi ya wanachama wa CCM wakielekea kwenye mkutano wa kampeni za urais wilayani Tunduma
Mgogoro huo unapeleka wagombea ubunge wa majimbo ya Tunduma na Momba kukosa uungwaji mkono ndani ya chama hicho na hivyo kuonyesha dalili za waziwazi za CCM kushindwa uchaguzi mkuu ujao ndani ya wilaya hii.
Stay tuned
Picha: Baadhi ya wanachama wa CCM wakielekea kwenye mkutano wa kampeni za urais wilayani Tunduma