Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,587
- 15,450
Wanamuuzia nani??TAKUKURU WAMEKUFA???Mkuu wagombea Chadema wanauza Fomu mchana kweupe bila haya ukiwalipa wanasema wameporwa na wasiojulikana . Chadema sijui wafanyaje kuwadhibiti hao wauza Fomu