Kwanini hakuna mfumo wa kujaza fomu online?
Kweli wanauza fomu hao, Lissu alisema wakiwa wanarudisha fomu wasindikizwe Sasa kwanini hawataki kusindikizwa?Kauza Fomu huyo
Kweli wanauza fomu hao, Lissu alisema wakiwa wanarudisha fomu wasindikizwe Sasa kwanini hawataki kusindikizwa?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kwanza kitendo cha wagombea kwenda na ulinzi uchaguzi unakuwa siyo huru na haki.Wagombea waliambiwa wasirudishe fomu wakiwa wenyewe huko inakuaje? au amepokea kibunda tayari?
Walitekwa masasi na ruangwa, mbona ccm hswatekwi?Kwanini act wasitekwe na watekwe chadema pekee?
Tusianze kutafuta excuse jamani tume imeamua kuvuruga uchaguzi.Kwanini hakuna mfumo wa kujaza fomu online?
acheni figisu za kuwateka na kuwabambikia kesi polisi ili washindwe kihalali wenyeewe,CHADEMA naona mnaufanyia kazi huu mpango wa kibeberu kuichafua nchi ili mkishindwa jamaa wainilie kati?
Ninyi watu si wema kabsa kwa familia zetu.
Mnachokitaka kikitokea hakitachagua wana-CCM pekee na familia zao. Tusiokuwa na kwa kukimbilia tutabaki kuitetea nchi huku tukiomba Mungu kama ilivyokuwa kwenye janga la COVID-19.
hapo ni saw na kuvuka mto wenye mamba bila taadhari,Katika mazingira kama haya, unarudishaje fomu peke yako? Hawa wagombea wengine wasijekuwa wana yao?
Hakuna anayetekwa hapo, ni uhuni wa kutaka kuichafua serikali ya Tanzania kimataifa ionekane uchaguzi haukuwa huru na wa haki.Ametekwaje wakati waliambiwa ni marufukukurudisha form ukiwa pekeako au mkiwa wachache? Isije kua kuna wagombea wachache wamepewa hela na kukihujumu chama.
Kama wanatekwa kweli na Polisi au CCM au serikali basi watu wanachezea amani ya nchi yetu, wanafanya jambo hatari sana.acheni figisu za kuwateka na kuwabambikia kesi polisi ili washindwe kihalali wenyeewe,
Wanamuuzia nani ili nani afaidike?? Kundi linaloumizwa na kadhia hii sio vumilivu na Wanajulikana jina lao NI VIJANAMkuu wagombea Chadema wanauza Fomu mchana kweupe bila haya ukiwalipa wanasema wameporwa na wasiojulikana . Chadema sijui wafanyaje kuwadhibiti hao wauza Fomu
Shida sio unachoamini ila unachotaka tuamini kuhusu wewe...Hakuna anayetekwa hapo, ni uhuni wa kutaka kuichafua serikali ya Tanzania kimataifa ionekane uchaguzi haukuwa huru na wa haki.
Wanatengeza mazingira ya kuja kuwatia hatiani viongozi wetu na vyombo vya dola wakishindwa uchaguzi na kuanzisha vurugu kwa makusudi.
Hujaona huu mchezo?
Mbona wanarudia script ya filamu za Libya, Iraq, Zimbabwe, Syria, Venezuela, Taiwan na Cuba.
Kama wanatekwa kweli na Polisi au CCM au serikali basi watu wanachezea amani ya nchi yetu, wanafanya jambo hatari sana.
DISCLAIMER: Mimi siamini serikali au vyombo vyake vinafanya utekaji huo, Au kamata kamata ya makusudi ili kuwazuia wasikamilishe utaratibu wa kuwa wagombea halali.
mbona wanakatwa hadi mapanga ujauona yule wa temeke,Hakuna anayetekwa hapo, ni uhuni wa kutaka kuichafua serikali ya Tanzania kimataifa ionekane uchaguzi haukuwa huru na wa haki.
Wanatengeza mazingira ya kuja kuwatia hatiani viongozi wetu na vyombo vya dola wakishindwa uchaguzi na kuanzisha vurugu kwa makusudi.
Hujaona huu mchezo?
Mbona wanarudia script ya filamu za Libya, Iraq, Zimbabwe, Syria, Venezuela, Taiwan na Cuba.
Kama wanatekwa kweli na Polisi au CCM au serikali basi watu wanachezea amani ya nchi yetu, wanafanya jambo hatari sana.
DISCLAIMER: Mimi siamini serikali au vyombo vyake vinafanya utekaji huo, Au kamata kamata ya makusudi ili kuwazuia wasikamilishe utaratibu wa kuwa wagombea halali.