GE2025 Mgombea Ubunge CCM Gairo, Ahmed Shabiby afanya kampeni zake kwa helikopta

GE2025 Mgombea Ubunge CCM Gairo, Ahmed Shabiby afanya kampeni zake kwa helikopta

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,608



Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Gairo Ahmed Shabiby amefanya kampeni za kuomba kura kwa kutumia helikopta ambapo amehaidi kuendelea kuboresha sekta ya kilimo cha umwagiliaji. Akiwa katika kampeni zake Shabiby amesema kuwa atahakikisha wananchi wananufaika na kilimo cha umwagiliaji ikiwa kwa sasa tayari mabwawa kwa ajili ya umwagiliaji yameshaanza kujengwa. Aidha Mgombea huyo akazungumzia suala la ujenzi wa mifereji mikubwa itakayosaidia kuondoa adha ya mafuriko kwa baadhi ya maeneo pindi mvua zinakaponyesha.
 
Janja anayo pesa hivyo ni kawaida tu
 
Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Gairo Ahmed Shabiby amefanya kampeni za kuomba kura kwa kutumia helkopta ambapo amehaidi kuendelea kuboresha sekta ya kilimo cha umwagiliaji.

Akiwa katika kampeni zake Shabiby amesema kuwa atahakikisha wananchi wananufaika na kilimo cha umwagiliaji ikiwa kwa sasa tayari mabwawa kwa ajili ya umwagiliaji yameshaanza kujengwa.

Aidha Mgombea huyo akazungumzia suala la ujenzi wa mifereji mikubwa itakayosaidia kuondoa adha ya mafuriko kwa baadhi ya maeneo pindi mvua zinakaponyesha.

 
Back
Top Bottom