waweza kuta kitandani gogo
Rais wetu Mtukufu ni Rais wa wanyonge atakata majina yaoCCM majina ya wanaume ni ya watoto wa vigogo tu.
Kimbisa.Jumanne Maghembe. Makongoro Nyerere.
Watoto wa maskini mkalime njugu mawe.
Siosio baby wa Mh kweli uyo????
Alikuwa Mkuu wa wilaya Manyoni kipindi cha Jakayauyo kipindi cha mkwere angepata ukuu wa wilaya au unaibu waziri. jamaa alikuwa mzuri kuitendea haki kazi ya mola.
HahaaaMBONA UNAMTAMANI MPENZI WANGU??JIHASHIMU BWANA..
Bado mkuuAmeolewa au bado eti?
Aisee we we ni shidaaMbona hakuna kitu hapo, nywele za dukani, ngozi ya dukani, so unaingia chaka kwa kujichubua, njoo kijijini kwetu uone wanawake natural with body mpaka harufu ya kwapa ni msisimko
duh..hahahaahahahaaaAlikuwa Mkuu wa wilaya Manyoni kipindi cha Jakaya
Hana lolote..... Ninaujua utamu na uchungu wake kwa line zote. Fancy ukibisha naweka ushahidi hapa... Pumbavu.
bado tunakuhitaji kuendesha gurudumu la mama tanzania
Karibu moshi mkuu,,mtoto kama huyu moshi hana soko kabisaUfipa hamna watoto wakali kama hawa,
Yamejaa madawa ya mwenyekiti tu
CCM majina ya wanaume ni ya watoto wa vigogo tu.
Kimbisa.Jumanne Maghembe. Makongoro Nyerere.
Watoto wa maskini mkalime njugu mawe.