ipi hiyo ya kubambikiwa kama walivyotaka kumfanyia mtoto wa mengi akawashtukia. Shibuda hakuwepo katika eneo la vurugu hizo wala hakujua kutokea kwa tukio hilo ila kachomekewa.
Habari nilizopata ni kwamba wananchi wa eneo hilo walilijia juu jeshi la polisi na kutishia kukishambulia kituo hicho kwa sababu ya kutotenda haki -- yaani kutomkamata mgombea wa CCM. Mtakumbuka kwamba kushambuliwa kwa vituo vya polisi kanda ya ziwa ilishatokea huko nyuma katika harakati za kuwatorosha wafungwa.
Kwa kuohofia kitendo hicho kutokeahapo Maswa ndo maana polisi walimkamata mgombea wa CCM!
Alipokuwa hapa Mwanza alimpigia kampeni Dr Slaa kwamba ndiye anafaa kuwa rais. Upo hapo? Shida ni kwamba mnawahi kukimbilia JF kabla hamjaenda hata kwenye kampeni.JAMANI MIE WAGOMBEA WOTE SIJAOANA ANAYENIFAA ZAIDI YA MGOMBEA URAIS BWANA KUGA MZIRAY MAANA YEYE KAMPENI ZAKE HAZINA VURUGU WALA HAHITAJI KUJITANGAZA, NIMESHANGAA HATA HAPA JAMII FORUMS KWA WALE WANAOPIGIWA KURA HAYUPO. JAMANI NAOMBA ATAMBULIWE NA YEYE. NA KWA MTIZAMO WANGU HUU NDIE RAIS ANAYETOSHA:smile-big: