Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,448
- 846
Hili nalo neno
Mwiiinzi huyooooooooooooooooooooooo
Wasomi wanajitambua sana, hawawezi kubuluzwa na wanasiasa wasio na tija kwa taifa hili.
IKULU KUNA NINI HADI MZEE ATOKWE NA MACHOZI!
MZEE WETU KASHINDWA KUJENGA HATA KIWANDA KIDOGO CHA KUSINDIKA MAZIWA JAPOKUWA ANAO NG`OMBE ZAIDI YA ELFU KUMI! HATARI!
Katika hali isiyo ya kawaida ni lazima tujiulize hiv Ikulu kuna nini?
Babu yetu hana uwezo wakuleta mabadiliko ndani ya nchii kwasababu ameshindwa kuwasaidia wananchi wake wa Monduli eneo linaloongoza kuwa na lidadi kubwa ya wafugaji na yeye mwenyewe kuwa na NG`OMBE ZAIDI YA ELFU KUMI, babu zaidi ya miaka 20 akiwa kiongozi kashindwa kuwajengea wafugaji hata kiwanda 1 cha maziwa ili kutoa uwezo kwa wanainchi husika kupata ajira na hatimaye kuinua kipato chao kila siku.
HALI AMBAYO NI TOFAUTI KABISA NA NYIMBO ZAKE ZA KILA SIKU ZA KUTENGENEZA AJIRA, Monduli kashindwa nchi nzima ndo ataweza kweli? Haaaa kweli ni nyimbo baadae zitakuwa ni NGONJERA.
Yawezekana ni ndoto za kuweza matumainikutengeneza ajira akiwa kazeeka kweli haya ndo maigizo yenyewe ya uzeeni!
F
ASITUFANYE WATOTO WADOGO WAKULISHWA UNGA WA NDELE NASEMA NOOOOOO. MZEE OUT
TAFAKARI,CHUKUA HATUA.
IKULU KUNA NINI ?
Lowassa ni sehemu ya matatizo ya watanzania hilo halina mjadala.!
watakao mpigia kura wakapimwe akili
watakao mpigia kura wakapimwe akili
Amejenga hajajenga,sisi tumeamua ni LOWASA tu,miaka 54 ,ccm wamefanyanya nini,?nawatafanya nini kipya?
Hata kama lowassa tu, ni hoja ya msingi kama kweli huko monduli hata kiwanda cha kusindika maziwa hakuna. Je ni mabadiliko gani tutayapata? Ila kama masuala ya mahaba kwake sio mbaya ukimpa kura yako.Yaani sisi ni lowasa tu, hata msemeje. Lowassa hoyeeeeeeee!!!!
Kawafundisha wa kwao kutembea na mifugo toka Monduli hadi Kiteto hadi Mvomero.
Taabu sana huyu jamaa.