IKULU KUNA NINI HADI MZEE ATOKWE NA MACHOZI!
MZEE WETU KASHINDWA KUJENGA HATA KIWANDA KIDOGO CHA KUSINDIKA MAZIWA JAPOKUWA ANAO NG`OMBE ZAIDI YA ELFU KUMI! HATARI!
Katika hali isiyo ya kawaida ni lazima tujiulize hiv Ikulu kuna nini?
Babu yetu hana uwezo wakuleta mabadiliko ndani ya nchii kwasababu ameshindwa kuwasaidia wananchi wake wa Monduli eneo linaloongoza kuwa na lidadi kubwa ya wafugaji na yeye mwenyewe kuwa na NG`OMBE ZAIDI YA ELFU KUMI, babu zaidi ya miaka 20 akiwa kiongozi kashindwa kuwajengea wafugaji hata kiwanda 1 cha maziwa ili kutoa uwezo kwa wanainchi husika kupata ajira na hatimaye kuinua kipato chao kila siku.
HALI AMBAYO NI TOFAUTI KABISA NA NYIMBO ZAKE ZA KILA SIKU ZA KUTENGENEZA AJIRA, Monduli kashindwa nchi nzima ndo ataweza kweli? Haaaa kweli ni nyimbo baadae zitakuwa ni NGONJERA.
Yawezekana ni ndoto za kuweza matumainikutengeneza ajira akiwa kazeeka kweli haya ndo maigizo yenyewe ya uzeeni!
F
ASITUFANYE WATOTO WADOGO WAKULISHWA UNGA WA NDELE NASEMA NOOOOOO. MZEE OUT
TAFAKARI,CHUKUA HATUA.
Magufuli kashindwa rushwa ya kwenye mizani zake; hafai kuwa Raisi? acheni ushabiki wa kirejareja mtu aweze kila kitu amekuwa mungu?IKULU KUNA NINI HADI MZEE ATOKWE NA MACHOZI!
MZEE WETU KASHINDWA KUJENGA HATA KIWANDA KIDOGO CHA KUSINDIKA MAZIWA JAPOKUWA ANAO NG`OMBE ZAIDI YA ELFU KUMI! HATARI!
Katika hali isiyo ya kawaida ni lazima tujiulize hiv Ikulu kuna nini?
Babu yetu hana uwezo wakuleta mabadiliko ndani ya nchii kwasababu ameshindwa kuwasaidia wananchi wake wa Monduli eneo linaloongoza kuwa na lidadi kubwa ya wafugaji na yeye mwenyewe kuwa na NG`OMBE ZAIDI YA ELFU KUMI, babu zaidi ya miaka 20 akiwa kiongozi kashindwa kuwajengea wafugaji hata kiwanda 1 cha maziwa ili kutoa uwezo kwa wanainchi husika kupata ajira na hatimaye kuinua kipato chao kila siku.
HALI AMBAYO NI TOFAUTI KABISA NA NYIMBO ZAKE ZA KILA SIKU ZA KUTENGENEZA AJIRA, Monduli kashindwa nchi nzima ndo ataweza kweli? Haaaa kweli ni nyimbo baadae zitakuwa ni NGONJERA.
Yawezekana ni ndoto za kuweza matumainikutengeneza ajira akiwa kazeeka kweli haya ndo maigizo yenyewe ya uzeeni!
F
ASITUFANYE WATOTO WADOGO WAKULISHWA UNGA WA NDELE NASEMA NOOOOOO. MZEE OUT
TAFAKARI,CHUKUA HATUA.
Magufuli ni jembe kura yangu nitampa
IKULU KUNA NINI HADI MZEE ATOKWE NA MACHOZI!
MZEE WETU KASHINDWA KUJENGA HATA KIWANDA KIDOGO CHA KUSINDIKA MAZIWA JAPOKUWA ANAO NG`OMBE ZAIDI YA ELFU KUMI! HATARI!
Katika hali isiyo ya kawaida ni lazima tujiulize hiv Ikulu kuna nini?
Babu yetu hana uwezo wakuleta mabadiliko ndani ya nchii kwasababu ameshindwa kuwasaidia wananchi wake wa Monduli eneo linaloongoza kuwa na lidadi kubwa ya wafugaji na yeye mwenyewe kuwa na NG`OMBE ZAIDI YA ELFU KUMI, babu zaidi ya miaka 20 akiwa kiongozi kashindwa kuwajengea wafugaji hata kiwanda 1 cha maziwa ili kutoa uwezo kwa wanainchi husika kupata ajira na hatimaye kuinua kipato chao kila siku.
HALI AMBAYO NI TOFAUTI KABISA NA NYIMBO ZAKE ZA KILA SIKU ZA KUTENGENEZA AJIRA, Monduli kashindwa nchi nzima ndo ataweza kweli? Haaaa kweli ni nyimbo baadae zitakuwa ni NGONJERA.
Yawezekana ni ndoto za kuweza matumainikutengeneza ajira akiwa kazeeka kweli haya ndo maigizo yenyewe ya uzeeni!
F
ASITUFANYE WATOTO WADOGO WAKULISHWA UNGA WA NDELE NASEMA NOOOOOO. MZEE OUT
TAFAKARI,CHUKUA HATUA.