Mgogoro wa Madiwani Bukoba: Masilahi ya Wananchi na Nchi kwanza ya Chama baadae!

Nape unakumbuka shuka wakati kumekucha. Leo ndio unaona Taifa kwanza chama baadaye? Pole sana bro kwani najua umechelewa sana kaka
 
Kumekuwa na mijadala kadhaa juu ya namna mambo yanavyokwenda ndani ya CCM hasa kufuatia sakata la madiwani na Meya wa Manispaa ya Bukoba. Kimsingi hali si tete kama inavyojaribu kuelezwa. Taratibu, kanuni, sheria na Katiba ya Chama kupitia vikao vitatumika kulimaliza swala hili kwa amani kabisa. Mwisho wa siku lazima wananchi wa Bukoba na Manispaa yao wapate haki yao ya msingi!

Nimewahi kusema siku nyingi kidogo kuwa NCHI KWANZA VYAMA BAADAE! Tafsiri rahisi hapa ni kuwa masilahi ya wananchi na nchi yao kwanza, masilahi ya Chama na itikadi zetu baadae!

Hivyo kwa kifupi kwa swala la Bukoba lazima masilahi ya wananchi wa Bukoba yatangulizwe mbele na yavuke ushabiki wa kiitikadi. Hatuwezi kupofushwa na mapenzi kwa vyama vyetu tukafumbia macho masilahi mapana ya wanachi wa Bukoba!

Hii haimaanishi sikipendi Chama changu bali ukweli ni kuwa naipenda sana CCM yangu lakini naipenda zaidi nchi yangu!
Mungu ibariki nchi yangu nzuri ya Tanzania
Mungu ibariki CCM iwahudumie vyema Watanzania!


Chama kikongwe kinasubiri kufa tu! Wacha vyama vijana viamuwe mustakabali wa nchi. Nape ulisema sahihi juu ya Wazee na hao mabosi wako ndiyo hivyo tena.
Jinasuwe uende kwa vijana wenzio.
 
Mkuu mimi nadhani hatua ya Nape kutaka madiwani waendelee na kazi hadi vikao vya juu vitakapoamua hatma yao ndio yalikuwa maslahi ya Taifa na si Chama!!! Sioni mgogoro wa kuturudisha kwenye uchaguzi.Ubabe wa meya na Kagasheki hauwezi kugharimu kodi za wananchi na muda wao.
Splendid indeed Mkuu.
 
Nape Nnauye kati ya CCM na CCJ kipi unakipenda zaidi, je kwenye swala kuvua gamba masilahi ya nani? ulizingatia..
 
Last edited by a moderator:
Nape naomba upande wako leo kabla ya kufuata upepo. Kundi moja linasimamia ufisadi uliotokea, kundi jingine linapinga ufisadi sasa wewe upo kundi gani?

Najua kuna siasa ndani yake ila kunahoja za msingi zinahitaji majibu badala ya ushabiki. Na swala la katiba yenu (CCM) kutetea mafisadi, wezi, wala rushwa , majangili, wauza unga na kuwalinda kwa kutumia vyombo vya usalama unasemaje??

NAPE UNAFIKI NI DHAMBI KUBWA, UONGO NI JANGA, NA USALITI NI AIBU. HUTETEI MASILAHI YA TAIFA LA TANZANIA BALI YA ALIYEKUTEUWA.
 
nape na hoja mfu maandishi yako tu yanadhiirisha kua hauna msimamo pole sana.
 
Nape rudi basi! Umelianzisha halafu ukaishia ndo nini sasa!..

Ulidhani unamaliza mjadala kumbe ndio umeuamsha upya!!!

Naona umeongeza kasi ya kuimalizia sisiemu.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
R .I .P nape maana naona alie kuloga ameharibu kila kitu wew huwez kuongea pumba kama hizo mbele ya wananchi wenye macho mawili.nape watanzania wa leo usiwafananishe na wa miaka ya 90 suala la kagera wew ni mnafiki yule mama yupo sahih 100%
 
Kumekuwa na mijadala kadhaa juu ya namna mambo yanavyokwenda ndani ya CCM hasa kufuatia sakata la madiwani na Meya wa Manispaa ya Bukoba. Kimsingi hali si tete kama inavyojaribu kuelezwa. Taratibu, kanuni, sheria na Katiba ya Chama kupitia vikao vitatumika kulimaliza swala hili kwa amani kabisa. Mwisho wa siku lazima wananchi wa Bukoba na Manispaa yao wapate haki yao ya msingi!

Nimewahi kusema siku nyingi kidogo kuwa NCHI KWANZA VYAMA BAADAE! Tafsiri rahisi hapa ni kuwa masilahi ya wananchi na nchi yao kwanza, masilahi ya Chama na itikadi zetu baadae!

Hivyo kwa kifupi kwa swala la Bukoba lazima masilahi ya wananchi wa Bukoba yatangulizwe mbele na yavuke ushabiki wa kiitikadi. Hatuwezi kupofushwa na mapenzi kwa vyama vyetu tukafumbia macho masilahi mapana ya wanachi wa Bukoba!

Hii haimaanishi sikipendi Chama changu bali ukweli ni kuwa naipenda sana CCM yangu lakini naipenda zaidi nchi yangu!
Mungu ibariki nchi yangu nzuri ya Tanzania
Mungu ibariki CCM iwahudumie vyema Watanzania!

Nape mimi huwa sikuelewi na nadhani sitakaa nikuelewe maake juzi hukujibu swali langu nililokuuliza kuwa hao NEC wenu wa mkoa ni bogus kutokujua katiba ya Chama chenu. Kama ni hivyo kwa mujibu wa taarifa yako ninyi Maccm mnaendeshaje nchi wakati viongozi ndani ya chama chenu hawaijui katiba hata ya chama tu. Kweli maCCM ni janga.
 
Nape wewe uliitwa bukoba na ukajaribu kusuluhisha yakakushinda, leo unasema Mtalimaliza suala hili siyo tete kama watu wanavyolidhania. Naomba nikueleze kuwa wewe kijana mwenzangu utakuwa unafikiri unafiki ndiyo dawa ya matatizo kama haya. It's fine let us wait but all what I know this style of handling such kind of issues make people lag behind economically
 
Ndugu nape,nimekuelewa sana na nakubaliana na maneno yako maslahi ya nchi kwanza vyama Baadae,Lakini nikisoma andiko lako nzima hofu ndani yako cjui ujahisi nAweza poteza kata endapo kutakuwa na by élection,lakin kubwa zaidi bw nape Yan ww maslahi ya mch kwanza umeyaona zaidi ktk mgogoro wa bukoba hivi kunamangapi makubwa ambayo yametokea na yanaweza kuharbu mustakabali mzima wa utaifa wetu wala hujayatolea tamko zuri kama hii..ahaaaaa nape unachokisema kionekane dhahiri na cyo maneno yanayoongozwa hofu.
 
Kumekuwa na mijadala kadhaa juu ya namna mambo yanavyokwenda ndani ya CCM hasa kufuatia sakata la madiwani na Meya wa Manispaa ya Bukoba. Kimsingi hali si tete kama inavyojaribu kuelezwa. Taratibu, kanuni, sheria na Katiba ya Chama kupitia vikao vitatumika kulimaliza swala hili kwa amani kabisa. Mwisho wa siku lazima wananchi wa Bukoba na Manispaa yao wapate haki yao ya msingi!

Nimewahi kusema siku nyingi kidogo kuwa NCHI KWANZA VYAMA BAADAE! Tafsiri rahisi hapa ni kuwa masilahi ya wananchi na nchi yao kwanza, masilahi ya Chama na itikadi zetu baadae!

Hivyo kwa kifupi kwa swala la Bukoba lazima masilahi ya wananchi wa Bukoba yatangulizwe mbele na yavuke ushabiki wa kiitikadi. Hatuwezi kupofushwa na mapenzi kwa vyama vyetu tukafumbia macho masilahi mapana ya wanachi wa Bukoba!

Hii haimaanishi sikipendi Chama changu bali ukweli ni kuwa naipenda sana CCM yangu lakini naipenda zaidi nchi yangu!
Mungu ibariki nchi yangu nzuri ya Tanzania
Mungu ibariki CCM iwahudumie vyema Watanzania!

wewe ni vuvuzela huna lolote
 
Si kweli Kama Mnaweka maslahi ya nchi kwanza na Vyama baadae maana msingelingangania Serikali 2 wakati mkijua fika kuwa kuendelea na Serikali 2 ni kuuweka Muungano kitanzini
 
Back
Top Bottom