Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,680
Wale waliokua wanasoma madrasa tu ni hao Akina Alhady
Ukiona muislamu yupo mbali na CCM ujue huyo ni msomi na ukiona yupo CCM ujue ni wale MA mbumbumbu na kwa Sasa sio wengi
Ndio maana tunamuelewa lissu
Wasomi pekee Ndio tunamuelewa Lissu
Usomi wenu ndio wa kupeleka vijana wa maskini kuwarubuni kwa pilau ili kujifunza ugaidi misituni enzi zile kule mkiru, kilindi handeni, au kuweka makambi ya magaidi kwenye mapango ya amboni Tanga. Ndio mnaita usomi na kustarabika kwa kiislamu huko?