Mgogoro ndani ya CHADEMA!?

Kipuri, sijawahi kuona mtu mzushi na mwenye majungu kama wewe. Hizi habari unazotuletea zinaonekana wazi kabisa kwamba zimepikwa.


mkuu, mi ni Great Thinker, sipiki majungu... Kama mngekuwa na akili mngezifanyia kazi habari hizi, na mngepata ukweli
 
mkuu, mi ni Great Thinker, sipiki majungu... Kama mngekuwa na akili mngezifanyia kazi habari hizi, na mngepata ukweli
Kama tungekuwa na akili? Great thinkers huwa siyo watu wa kujisifu kama wewe, ndio maana tunasema kwamba habari zako haziaminiki. Kwanza hujatupatia source halafu unafikiri tutayachukua tu mawazo yako kwa kuwa unajidhani kuwa wewe ni great thinker. Kwa taarifa yako wanaokuona na kukusikia ndio walitakiwa watoe comment zao kukuhusu endapo wewe ni great thinker au la. Vinginevyo hata muhalifu akiwa mahakamani atajitetea kwamba yeye ni raia asiye na hatia. lakini ushahidi na mashahidi ndivyo vitakavyothibitisha. Hata na wewe lazima kuwe na ushahidi na mashahidi wa kukuthibitisha kuwa wewe ni great thinker vinginevyo tutayachukulia hayo kama maoni yako tu. Na ndio maana unaone wengine wote hawana akili isipokuwa wewe tu. Eti unasema kama mngekuwa na akili.
 
Gwanda mtashinda Urais 2015? kwa kura zipi?
 


bila shaka we ni chizi, usipojitamnua nani atakutambua, usipojipenda nani atakupenda
 
Badala ya kujadili hoja na mipango yenu ya Chadema mnamjadili Ritz Chadema bana.


Kama unatuibia unataka tusikujadili? We subiri tuchukue nchi 2015 utatueleza watanzania ulikoficha mali zetu. Tutakubuluza mahakamani
 
mtazamo wako,tunataka tuone wakichinjana
 
bila shaka we ni chizi, usipojitamnua nani atakutambua, usipojipenda nani atakupenda
Kauli hiyo hapo kwenye red inanikumbusha kauli za makada wa chama cha mapinduzi. Ama kweli matusi mmeyazoea. Hata hivyo itatia shaka sana kama hakuna yeyote anayekutambua wala kukupenda, hata kama utaamua kujifanyia mambo hayo mwenyewe. Siyo hali ya kawaida kutopendwa wala kutambuliwa na mtu walau mmoja. Ni lazima kutakuwa na tatizo ni bora ujitathmini.
 
Huu ni ukweli mchungu kuusema hadharani ukakubalika kirahisi, lazima upopolewe mawe,kejeli na matusi. Hivi sasa chadema ni sawa na jeshi lililopigwa vitani wanajeshi wake wakapoteana, haijulikani walipo wala welekeo. Kamanda wa vita hana mawasiliano na wapiganaji wake huku wengine wametekwa wengine wamekufa lakini kibaya zaidi wengi wao wamekata tamaa.

namhurumia kamanda kiongozi wa vita kwa kupotelewa na wanajeshi wengi wa mstari wa mbele vitani bila ya yeye kutambua wala kujitambua
 
-------- huna akili wewe, hivi hao wasaliti wanatumiwa kama kondomu na ccm, ndio hao unaosema wanajeshi waliomstari mbele, hivi kwa akili ya unafikili zitto na hao vibaraka wenzie watafifisha ndoto za mbadiliko za watanzania, akili ziko wapi wewe, inawezekana hujui kuwa unaisapoti ccm kupitia mlango wa nyuma ambao ni zitto na hao vibaraka wenzie na hiyo ACT ambayo imeanzishwa na ccm kuvuruga upinzani, na ndio maana hako kachama kakapewa usajili wa kudumu harakaharaka, hujiulizi kwa nini CCJ haikupewa usajili haraka ili kishiriki uchaguzi mkuu uliopita, ni kwa sababu kilikuwa kinyume na ccm, mnalaana nyinyi, wakati vyama vya upinzani vinaungana kuwakomboa watanzania kwa kuing'oa ccm na uchafu wao wote, nyie mnaunda chama cha kushindana CHADEMA, hakika mna laana nyie na hamtafanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…