Mgogoro mkubwa wafukuta TBC



Nonsensical....
 
Sifa kuu ya kwanza kwa mtumishi wa umma ni kutunza siri za serikali!.
Whoever aliyezitoa taarifa hizo nje, amekiuka masharti yake ya ajira na akipatikana ni summary dismissal!.
Pasco.
UMEKOSEA Pasco sifa ya kwanza kwa mtumishi wa umma ni kuwanyenyekea wanasiasa na kuficha maovu yao!
wewe unatetea kwa sababu ya ugali wako unaogopa matangazo yako yataziwa
 
Last edited by a moderator:
Huwa naona wanaosafiri ni wale wale.

Safari za uingereza na marekani lazma Suzan Mungi ajipigie pande.
 
ucha kuongea kama siio mwanasheria
kasema ukweli na ukweli ndio dira ya maendeleo
bila ukweli nchi itayumba
ukweli ndio utatuweka huru
nampongeza mtoa mada
 
Upande wa radio ndo wavunje kabisa waweke club ya usiku.

Serikali yenyewe inajua hakuna anayesikiliza na wanatumia clouds kupeleka ujumbe kwa wananchi.
 
TBC ni janga lingine la Taifa iko kiyombayomba zaidi!
 
Viva Tido Mhando; Tutakukumbuka sana kwa umahiri wako katika tasnia ya habari!! CCM walitumbukiza lulu chooni!!

Umenena sawa sawiwia, walipata mkurugenzi makini kila mtanzania ndani na nje ya nchi akaipenda TBC wao kwa siasa uchwara wao wakamuona hafai, malipo ni hapahapa duniani acha wale jeuri yao, japo najua shirika linatumia pesa zetu za kodi, potelea mbali acha kulipuke.

Bahati iliwajia ikawakuta wamelala, waliposhituka usingizini bahati ilikusha potea.
 
ndio maana kuna wakati unapoangalia habari ni lazima kuwe na tatizo la kutopata habari ktk picha na sasa hawapo online TV4AFRICA
 
TBC Mkuu TangaTanu, the best ni relative according to vigezo, niliposema TBC is the best niliweka vyangu, na wewe unaposema ITV ndio TV best kwa vigezo vyako you are also right vijana nao wataibuka kuwa Clouds ndio TV best na wataweka vigezo vyao.

Ill tuzishindanishe hizi TV kwa haki, tuweke vigezo vinavyo fanana vya ubest kwenye Tv. Hill la ITV kupendwa zaidi kutokana na kuwapa watazamaji kile wanachokitaka halina ubishi, TBC kama Public Tv Stations, haipaswi Kuwapa watazamaji kile wanachokitaka bali Watanzania wanachopaswa kupata na sio lazima wanachopenda kama prescriptions daktari atakupatia kidonge cha kukutibu hata kama ni kichungu na hukipendi, ill upone utakimeza, vinginevyo ukiendekeza kile ukipendacho lets say ni pipi, utakula pipi tamu but won't help you at all!.

Ndio maana TBC wanarusha Bunge, Vipindi vaya Kilimo , Vipindi vya maendeleo na vile vyenye maslahi kwa taifa.
Kwa vile vigezo vyangu, TBC bado ni best.
Pasco
 
Bila Tido TBC itakufa tu, leo hii TBC imerudia enzi za TVT, imepoteza mvuto kwa watu. Mimi kwangu hata sijui mara ya mwisho niliangalia lini program za TBC, ni ujinga kupoteza muda wako kuangalia mauchafu ya TBC!
 
Mkurugenzi mkuu amepewa jina la BOYA, duuuuu, hii noma.
Ndivyo hivyo wanavyomwita hata walinzi kwenye mageti ya kuingia na kutoka TBC utawasikia wakisema mara tu waonapo gari yake inakuja.
Kisa tu, ni kwamba
1/Wanamwona kama mtu asiyestahili kuwa mkurugenzi wao!!

2/Anatumika tu kama kondom na waliomuweka pale!!

3/Hajui kabisa anakoipeleka TBC!!

4/Ni mwoga, mbishi na mwenye misimamo ya ajabu ajabu sana.
 

Du ulitaka wafe na tai shingoni, Tanzania inabadilika siyo kama ya miaka ile tunaimba TANU yajenga nchi na ambapo kila tarehe 5/02/ ilikuwa siku kuu hatuendi shule
 
Katika tasnia ya habari, kuna vitu vinanishangaza sana, kuna watu wako tayari kuwa watumwa wa kifikra, simply because they are paid that's all, Utumwa wa kifikra ni mbaya heri utumwa wa waarabu wa kufungwa minyororo, unalazimika kupresent kitu ambacho hukubaliani nacho, I better die, rather than doing something out of my conscience.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…