Mgogoro ACT - Wazalendo: Zitto kumpindua Mwigamba?

Mgogoro ACT - Wazalendo: Zitto kumpindua Mwigamba?

nani asiyejua zito ni punguza kura za ukawa???
 
Sijui kwa nini Chadema bado wanahofu na Zitto pamoja na kuwaachia Chama Chao!
 
Gazeti ovyo tanzania sijui na mhariri wake habari zake za vigodoro
 
hee aliyeandika makala hii akapimwe akili inawezekanaje Rais ampindue waziri mkuu?
 
kazi ya kupinduana ndio zao bado mchange tu atapata kipindupindu.
 
Atampinduaje mtu asiye na cheo?
Prof Kitila si mshauri tu au?
Au tatizo karuzuku kamekuwa kadogo kinyume na matarajio kwa hiyo Prof anatishia kumega the Lion share ya Supreme leader?

Kikatiba Zito anacheo gani kumzidi Mwigamba??
 
Hawa Mawio mbona hatuoni wala kusikia wakiandika kuhusu migogoro ndani ya UKAWA ambako ndiko kuna migogoro mingi zaidi?
 
Hilo gazeti hata kulifungia vitumbua ni kulipa hadhi.

Lenyewe ni kufutia kinyesi tu.
 
Hawa Mawio mbona hatuoni wala kusikia wakiandika kuhusu migogoro ndani ya UKAWA ambako ndiko kuna migogoro mingi zaidi?
 
hilo gazeti hua hata kichwa habari sisomi hua ni udaku heri ijumaa linanafuu
 
CgjbhLPUUAAI3yA.jpg



Mbona wamesema anaenda kusoma au ni zuga?
 
Back
Top Bottom