Ngonidema
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 2,775
- 2,750
Zitto ampindue mtu asiye na cheo?. Porojo nyingine bwana.
Ipo cku zito atajipindua mwenyewe
Zitto ampindue mtu asiye na cheo?. Porojo nyingine bwana.
ACT inazidi kukua.....mengine ni porojo
ACT inazidi kukua.....mengine ni porojo
1.Prof. Kitila MkumboAtampinduaje mtu asiye na cheo?
Prof Kitila si mshauri tu au?
Au tatizo karuzuku kamekuwa kadogo kinyume na matarajio kwa hiyo Prof anatishia kumega the Lion share ya Supreme leader?
Taarifa haijitoshelezi!! Anataka kumpindua nini? Na tangu lini gazeti la Mawio ikaandika habari njema za Zitto? Kubenea acha siasa chafu, tumekupa ubunge ufanye kazi--punguza majungu na usianze kushambulia watu makini. Pambana na CCM na sio Zitto
Bila kujitia UCHIZI Huwezi kusoma MAWIO
Lowassa kakutosa mkuu.Nenda Rombo ukauze Kiti Moto.Teh
ccm and zitto can be used interchangeablyTaarifa haijitoshelezi!! Anataka kumpindua nini? Na tangu lini gazeti la Mawio ikaandika habari njema za Zitto? Kubenea acha siasa chafu, tumekupa ubunge ufanye kazi--punguza majungu na usianze kushambulia watu makini. Pambana na CCM na sio Zitto
Ukitoa porojo unabaki urojo... ushanifaamu yakheeeee!ACT inazidi kukua.....mengine ni porojo