Peterson jr
Member
- Jan 6, 2018
- 12
- 7
Amani iwe nanyi, napenda kuuliza maana kuuliza sio ujinga. Hivi ule mgodi wa makaa ya mawe pale kiwira ulirudishwa serikalini au bado ni wa mh mkapa?
Pia napenda kuuliza ile mitambo ya Richmond pale ubungo ambayo imebadilishwa jina sasa inaitwa DOWASI ni Mali ya serikali au bado ni ya mh LOWASA? napenda mnijuze watanzania wenzangu.
Vile vile napenda kuwauliza watanzania wenzangu, mbona wezi wa tegeta escrow wamekamatwa wawili2 rugemalila na set? Mbona wezi wengine hawakamatwi? Tena mbaya zaidi tumekatazwa kutaja majina je hii ni sawa?
Mwisho naomba mnijuze hili swala LA majadiliano ya makinikia limefikia wapi limezikwa? Au ilikua kiini macho. Hii nchi ya ajabu sana nashindwa nimwamini nani.
Pia napenda kuuliza ile mitambo ya Richmond pale ubungo ambayo imebadilishwa jina sasa inaitwa DOWASI ni Mali ya serikali au bado ni ya mh LOWASA? napenda mnijuze watanzania wenzangu.
Vile vile napenda kuwauliza watanzania wenzangu, mbona wezi wa tegeta escrow wamekamatwa wawili2 rugemalila na set? Mbona wezi wengine hawakamatwi? Tena mbaya zaidi tumekatazwa kutaja majina je hii ni sawa?
Mwisho naomba mnijuze hili swala LA majadiliano ya makinikia limefikia wapi limezikwa? Au ilikua kiini macho. Hii nchi ya ajabu sana nashindwa nimwamini nani.