Mgeni ila mwenyeji

Mgeni ila mwenyeji

Donati ya njano na sifa ya donati ina kitobo kati,
Na wewe ni dume unajipa sifa ya donati, ndio kusema maisha yamekua magumu sanaaa kama ndio basi sio kwa JF bora nikupe chimbo wanalipa pesa nzuri kwa Donati.
1688934864207.png

๐Ÿ˜‚
 
Dume hilo. Kama unatarajia pisi kali utaishia kutana na kama huyo wa kwenye picha.

View attachment 2683458
Nimeshashtuka na nimem ignore tiyari soma huu uzi ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

 
Nimeshashtuka na nimem ignore tiyari soma huu uzi ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Ungekutana na uso uliokomaa kwa kupigwa wembe daily๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Linakubania sauti kukuita bebi
1688935410519.png
 
Ungekutana uso uliokomaa kwa kupigwa wembe daily๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Aaah weee mi si chelewagi kujua uhalisia wa mtu. Mkuu jf naisoma nje ndani.

๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž Mjini tumo kitambo sana tu
 
Fanya mambo fasta kesho mechi saa sita mchana inapaswa kuanza
Nimepita asubuhi nikasahau kuangalia jina ila ni pale ukiwa umetoka mliman city kona ya kwenda sinza opposite na sheli kuna wanaofyatua vile vi perving ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€then kuna maget kama sita yameongozana

Bwana acha ngono kafanye kazi๐Ÿ˜€
 
Nido Blue Birds hotel.. pale huwa ni machinjioo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…...

kuna siku nimepaki gari, usiku napigiwa simu nimeona gari yako hapo ndani.. alinipigia sikuamini tukabaki tunachekaaa tuuu ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….. p
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€basi mi hata jina sikuona aende hapohapo๐Ÿ˜€
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom