Bila hata kuzungumzia hoja yake, lakini Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Hamisi Mgeja ni mtovu wa adabu kwa kuwa alikuwa akizungumza na waandishi wa habari na akijua kuwa kwa kupitia wao atakuwa akizungumza na Watanzania, alikuwa akitafuna bazoka!! Achilia mbali waandishi na wananchi, lakini mtu mwenye adabu na heshima zake hawezi kuzungumza na mwingine huku akiwa anatafuna Big-G!!
Source: ITV News hivi punde tu.
Source: ITV News hivi punde tu.