mgawo wa umeme umeanza?

mgawo wa umeme umeanza?

pwita

Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12
Reaction score
5
Naomba kujulishwa wanaJF kama mgawo umeanza au kuna tatizo gani maana huku ubungo (baadhi ya maeneo) umeme umekuwa adimu wiki ya pili hii. Mfano jana umekatwa saa kumi na mbili jioni umerudi leo saa 7 mchana. Ukawaka hadi saa 9 ukakatika. Ukarudi saa 10 jioni. Saa 12 umekatika na haijulikani utarudi saa ngapi. Nijuzeni wapendwa huenda tangazo la mgawo limetolewa mie limenipita.
 
Mgao mbona upo siku zote toka mkapa aondoke tz tuna mgao wa umeme
 
Siku nyingine umeme unakatika baada ya dk 5 unaludi na kukatika tena,hauludi mpaka asubuhi,wangetangaza tu kwamba kuna mgao ili watu watambue,watu wanapata hasara kila kukicha.
 
Mgao mbona upo siku zote we ndio umejuwa leo
 
Labda ni kwa sababu ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha yawezekana zimeleta uharibu mahala fulani hivi
 
Mgao upo Siku zote labda wewe haujakufikia....... jipange hiyo ndio tz
 
Wakati wa uchaguzi mnawachagua hawa viongozi then baadae mnakuja kulalamika. Na bado. Mtavuna mlichopanda. Msilalamike
 
Under normal circumstances, mgao upo kila siku.

Ukiona hamna mgao ndio exceptional case.
 
Back
Top Bottom