Mgawanyiko mkubwa ambao haujawahi kutokea umebisha hodi Tanzania

Rais anayewagawa wananchi wake kwa kanda, wa Kimara poa kuvunjiwa nyumba zao hata kama wana amri za mahakama kuzuia uvunjaji huo, na wa Mwanza wasivunjiwe hata kama wamejenga vibaya, hawezikuwa na nia njema.

Kwa hiyo mnaposema "Rais ana nia njema" inabidi mjifikirie mara mbili kabla ya kutoa kauli hiyo.
Hii Kauli Si Nzuri kwa kiongozi mkubwa kutoa Maneno kama haya kwa Halaiki Binafsi sijapendezwa Licha ya Jitihada kadhaa anazozifanya Na kunishawishi kuunga Mkono Nadhani Ni kutokuujua nini nikaongea katika ziara yangu na Jamii ya watu wa mwanza Suala kama hili la kubomolewa Nyumba Natafsiri kama Vile Alichukulia kama sehemu ya masihara Lakini si Mahara pake ,,kwani Jamii INA passive jambo kwa Namna Yake
 
Jamani kweli Uongozi sometimes bila Kuwa na Nguvu ya Mungu huenda ukaongea kitu ambacho ata impact yake hukijui kweli Uongozi nao Ni wito na ni karama pia
 
Hii Kauli Si Nzuri kwa kiongozi mkubwa kutoa Maneno kama haya kwa Halaiki Binafsi sijapendezwa Licha ya Jitihada kadhaa anazozifanya Na kunishawishi kuunga Mkono Nadhani Ni kutokuujua nini nikaongea katika ziara yangu na Jamii ya watu wa mwanza Suala kama hili la kubomolewa Nyumba Natafsiri kama Vile Alichukulia kama sehemu ya masihara Lakini si Mahara pake ,,kwani Jamii INA passive jambo kwa Namna Yake
Sifikiri kamani kutokujua. Magufuli simjinga hivyo kwamba asijue maneno haya yana uzito gani,kumbuka, huyu ni mtu anayeweza kukutajia melting points za most of the relevant materials from periodic table from the top of his head.Huyu ni mtu anayesemekana kujua mpaka idadi ya mifugo na wanyama kwa kichwa, kwa hiyo kujua kwamba maneno haya yana uzito gani sifikiri kwamba kashindwa.

Nafikiri suala kubwa zaidi ni kwamba hajali, anatengeneza compass yake mwenyewe, hapangiwi.
 
Sifikiri kamani kutokujua. Magufuli simjinga hivyo kwamba asijue maneno haya yana uzito gani,kumbuka, huyu ni mtu anayeweza kukutajia melting points za most of the relevant materials from periodic table from the top of his head.Huyu ni mtu anayesemekana kujua mpaka idadi ya mifugo na wanyama kwa kichwa, kwa hiyo kujua kwamba maneno haya yana uzito gani sifikiri kwamba kashindwa.

Nafikiri suala kubwa zaidi ni kwamba hajali, anatengeneza compass yake mwenyewe, hapangiwi.
Nimekuelewa vyema But imagine Kwamba mwenzio kapatwa na maafa makubwa kwa Amri aidha ya serikali au mahakama Kufanyiwa tendo Fulani na maeneo Hayohayo ila Mazingira Fulani Unawakingia Kifua changamoto Je Ikitokea Tanroad au mradi ukahitaji kupitishwa Waendesha implementation wajiandae kupata upinzani mkubwa kwa Wananchi kutokana na kinga Hiyo Na ifahamike Afadhali ingefanya bomoa bomoa maeneo hatarishi Kama mabondeni tungesema ndiyo sasa Kwa hili mmmmmmh hapana so neno zuri
 
Kaa upande wa wenye vyeti ambao walitumbuliwa ndiyo wanaompinga MH Rais na ni wachache mno na baada ya mda mfupi watasahulika.
 
Taifa lipo kwenye mgawanyiko mkubwa ambao haujawahi kutokea toka tupate Uhuru.

Kuna watanzania wanaunga mkono harakati za Rais Magufuli, kuna watanzania wanapinga kabisa harakati za Rais. Najiuliza nikae upande gani?

Nikitaka kuunga mkono kazi za Rais napata mashaka na nikitaka kuunga mkono wanaompinga Rais mbali ya wapinzania napata mashaka.

Issue ni kwamba tayari tumejiingiza kwenye mtego mbaya unaoweza kulitumbukiza taifa kwenye mgogoro mkubwa. Najiuliza tu Rais anafanya kazi kwa nia njema lakini kwa nini anapingwa sana?

Mimi ni MTU mzima na naunga mkono harakati za Rais kwa sababu akifanikiwa watoto wangu hawatapita nilikopita watakuwa na afadhali ya maisha kuliko Mimi kwa sababu Rais huyu anapambana kuondoa system iliyotusumbua kwa miaka mingi sana.

Ndugu zangu nahisi mwisho wetu hautakuwa mzuri kama nilivyokuwa nawaza. Nyalandu ameonyesha njia mbadala ya kupinga hayo mambo waziwazi na tumepata taarifa wabunge wengine 27 wanafata nyayo za Nyalandu.

Mh Nyalandu kwa jinsi navyomjua personal sio tu kwamba amesoma ila ana elimu inaitwa exposure.
Hii elimu wanapata with wachache wanaofanikiwa kuishi nje ya enveroment waliozaliwa na kukulia.

Nawaambia wazi watanzania wenzangu something wrong somewhere and we are in big trouble as nation!!!
Rais gani ambaye hajawahi kupingwa au kuungwa mkono? Kila Rais aliyekuwepo, aliyepo na ajaye atakuwa na makundi hayo mawili yanayompinga na yanayomuunga mkono. Hii hujidhirisha pia kwenye kura. Acha kupotosha watu wewe
 
Nimekuelewa vyema But imagine Kwamba mwenzio kapatwa na maafa makubwa kwa Amri aidha ya serikali au mahakama Kufanyiwa tendo Fulani na maeneo Hayohayo ila Mazingira Fulani Unawakingia Kifua changamoto Je Ikitokea Tanroad au mradi ukahitaji kupitishwa Waendesha implementation wajiandae kupata upinzani mkubwa kwa Wananchi kutokana na kinga Hiyo Na ifahamike Afadhali ingefanya bomoa bomoa maeneo hatarishi Kama mabondeni tungesema ndiyo sasa Kwa hili mmmmmmh hapana so neno zuri
All in allrais anatakiwa kuwa na kauli nzuri ambayo hata akiwa kateleza isiweze kutafsiriwa vibaya.

Huyu hajui kuongea hata akiwa anasema kwa nia nzuri haepuki lawama.

Kuwa na serikali moja inayokwenda kwa sheria mbili, sheriamoja kwa watu waliompigia kura rais, na shria ya pili kwa waliomkataa (ndiyo picha aliyotupa hii) ni jambo la hatari sana.
 
All in allrais anatakiwa kuwa na kauli nzuri ambayo hata akiwa kateleza isiweze kutafsiriwa vibaya.

Huyu hajui kuongea hata akiwa anasema kwa nia nzuri haepuki lawama.

Kuwa na serikali moja inayokwenda kwa sheria mbili, sheriamoja kwa watu waliompigia kura rais, na shria ya pili kwa waliomkataa (ndiyo picha aliyotupa hii) ni jambo la hatari sana.
Ni kweli Kaka Ahsante kwa Muda wako Kauli Nzuri zenye kushadidiana na Jamii Daima huwaunganisha wananchi Sometime it maybe someone weakness but ikitokea ukatambua kwamba ndio Udhaifu wako Naona ufanisi mkubwa Mbeleni Any way
 
Nashukuru mkuu kujua kwamba kiongozi bora huangalia maslahi mapana ya kitaifa na siyo umaarufu wake kisiasa.
Kwa mantiki hiyo, alichokifanya kule Mwanza ndio maslahi mapana ya kitaifa?? Waliojenga kwenye uwanja wa ndege hao sio maeneo hatarishi?? Ningetamani tufike mahali tuweze kusema kuwa hiki ni kibaya na hiki sio kibaya ila tusiseme huenda sio kibaya.

Kumekuwa na dhana humu kuwa Rais alichokiagiza Mwanza, kuhusu wananchi kutokubomolewa ni cha upendeleo na wengine kudai ni ukabila.

Ebu isikiliza kwa umakini hotuba yake, na tafsiri zinatolewa humu jamvini na kwenye baadhi ya vyombo vya habari. Ni wazi kwamba tafsiri hizo zimegubikwa na siasa za chuki.

Kwanza hao walioongelewa hawakuvamia maeneo hatarishi wala ya hifadhi ya upanuzi wa miundo mbinu. Wale wa Uwanja wa ndege wameambiwa waondolewe.

Pili, hao wavamizi hawajaambiwa kuwa hawatabomolewa. Ukweli ni kwamba wamiliki wa maeneo hayo, ambao ni Taasisi za Serikali km Jeshi, Wizara husika zimeagizwa kuangalia upya mipaka ya miliki ya ardhi husika na kuona uwezekano wa kuwaacha waliojenga kwenye maeneo salama na shughuli za wamiliki. Na siyo mara ya kwanza Rais ameagiza kugawa aina ya ardhi hiyo kwa wananchi.

TUCHAGUE MANENO YA SHUTUMA.

HAKUNA JINSI YA KUMWONDOA RAIS MAGUFULI MADARAKANI ISIPOKUWA KWA KURA 2025.

Kwa sasa wenye wivu, hasira zao wazithibiti ili wasipate ugonjwa wa moyo.
 
Kumekuwa na dhana humu kuwa Rais alichokiagiza Mwanza, kuhusu wananchi kutokubomolewa ni cha upendeleo na wengine kudai ni ukabila.

Ebu isikiliza kwa umakini hotuba yake, na tafsiri zinatolewa humu jamvini na kwenye baadhi ya vyombo vya habari. Ni wazi kwamba tafsiri hizo zimegubikwa na siasa za chuki.

Kwanza hao walioongelewa hawakuvamia maeneo hatarishi wala ya hifadhi ya upanuzi wa miundo mbinu. Wale wa Uwanja wa ndege wameambiwa waondolewe.

Pili, hao wavamizi hawajaambiwa kuwa hawatabomolewa. Ukweli ni kwamba wamiliki wa maeneo hayo, ambao ni Taasisi za Serikali km Jeshi, Wizara husika zimeagizwa kuangalia upya mipaka ya miliki ya ardhi husika na kuona uwezekano wa kuwaacha waliojenga kwenye maeneo salama na shughuli za wamiliki. Na siyo mara ya kwanza Rais ameagiza kugawa aina ya ardhi hiyo kwa wananchi.

TUCHAGUE MANENO YA SHUTUMA.

HAKUNA JINSI YA KUMWONDOA RAIS MAGUFULI MADARAKANI ISIPOKUWA KWA KURA 2025.

Kwa sasa wenye wivu, hasira zao wazithibiti ili wasipate ugonjwa wa moyo.
Rais anatakiwa kuwa makini ili asitoe kaluli ambazo zinaweza kutafsiriwa kirahisi kuwagawa wananchi.

Yani ile Rais kuwa msemaovyo ovyo tu kiasikwamba akaweza kutafsiriwa kirahisi kwamba anawagawa wananchi mafungu, hata kama hamaanishi hivyo, ni tatizo tayari.

Na huyu Magufuli ana tatizo hilo.

Hatuwezi kuwa na rais ambaye kila siku watu wanamtetea kauli zake mbovu kwa minajili ya tafsiri.

Kwani yeye mtoto?Mpaka anakuwa rais hajui kwamba kauli hii ni controversial?

Kwa mfano, kwa nini rais ahusishe kutetea watu wasivunjiwe nyumba na watu waliomchagua? Ina maana wasiomchagua ni poa tu wakibomolewa?

Watu wakiangalia Kimara, jimbo la Ubungo, wamechagua mpinzani kuwa mbunge,wakiangalia wanaona wamevunjiwa nyumba licha ya kuwa na court order, rais hakuwatetea.

Hawa wakisema rais kawaachia wavunjiwe nyumba kwa sababu hawakuchagua CCM, na ushahidi ni maneno yake mwenyewe rais kwamba watu wa Mwanza wasivunjiwe kwa sababu wamemchagua, watakuwa wamekosea ?
 
Kama hujui, huyu rais anaungwa mkono sana katika hatua nyingi za uchumi, ujasiri wake na kwa kweli nia njema aliyonayo. Tunamwunga mkono katika kutaka kutatua matatizo ya kiuchumi ya Watanzania kwa mori na utashi usiokuwa na unafiki. Yeye mwenyewe anaishi kama mfano bora kwa kutokuwa mfujaji, kuwa mnyenyekevu na kuishi maisha ya kawaida.
Isipokuwa rais huyu ni ovyo sana, almost like a rabid dog, inapokuja kwenye siasa. Anafanya mambo kana kwamba si rais wa nchi nzima bali wa kijiji, mji nk. Pia hana uelewa wa masuala ya kimataifa na kwamba kuna mambo inabidi ajiepushe nayo ili Tanzania ionekane nchi ya kiistaarabu duniani. Hana kabisa uelewa kuwa enzi hizi huwezi kufanya kama miaka ya 60,70.
Ni upuuzi usio na mipaka kuwasakama wapinzani, na kutaka kusiwepo upinzani katika karne hii.
Nia njema pekee si mwisho wa kazi unapokuwa wewe ni kichwa cha nchi nzima. Hivyo, natabiri akiendelea namna hii ataliangamiza taifa bila ya yeye kukusudia. Maangamizo ya taifa yataanza kuonekana katika misingi ya kikabila, ki-mkoa na hata kidini. Uchumi nao huenda ukapata pigo na huenda Tanzania ikawekewa vikwazo......
Mimi napata picha kuwa huyu pombe ni mpiga dili, ona anavyomkingia kifua bashite, huoni anamtumia kwa manufaa yake ki uchumi? I hate this guy, na naapa nitamfanyia kitu mbaya,simuogopi wala siogopi chochote.
 
HAKUNA JINSI YA KUMWONDOA RAIS MAGUFULI MADARAKANI ISIPOKUWA KWA KURA 2025.

Mkuu;
Kuondoana madarakani kumekuja wapi humu?? Wewe ndio una roho mbaya saana kwa watz. Huenda una kanafasi umepata au unakatamani ndo maana unajikomba kwa rais. Sawa, sio vinaya lakini usipende kuwatafsiria watu kama upendavyo wewe. acha watu watafsiri waonavyo na walivyo muelewa.
Unaposema hakuna namna ya kumtoa hadi 2025 maana yake ni nini? Tuseme hakuna uchaguzi 2020? Kama mna uhakika huo, ya nini sasa kupoteza pesa za kodi zetu kuingia uchaguzi uliokwisha tiyari?? Nachelea kuendelea kuuwaza huu mchangi wako. Nadhani hata hiyo 2025 ni kama akitaka yeye ndo tutamtoa. Akisema bado ana kiu, hatoki.
 
Sijui uliona nini lakini huenda utabiri wako ukawa wa kweli. Fikiri, wapo watu wanauguza vidonda vya kupoteza nyumba zao za kifahari mno walikuwa wamejijengea kwa kujinyima. Wakaambiwa wapishe barabara. Leo wamesikia ati kuna mtu mwenye huruma saana amesema wenzao hata ka walikosea, nyumba zao zisiguswe. Utajisikiaje?
Including nyumba za ibada zinavunjwa
 
Mkuu;
(1)Kuondoana madarakani kumekuja wapi humu??

(2)Wewe ndio una roho mbaya saana kwa watz.
...
(3)Unaposema hakuna namna ya kumtoa hadi 2025 maana yake ni nini? Tuseme hakuna uchaguzi 2020?.

(1) Kuondoana madarakani ni madhumuni ya kila chama chochote cha siasa ili kiingie Ikulu. Shutuma, tuhuma, kebehi, dharau na aina yoyote ya maneno na vitendo vya viongozi wa upinzani na wafuasi ni kuifitinisha Serikali na wapiga kura.

(2) Roho mbaya ninayo ya kuwaelemisha wa upinzani vigezo vya kiongozi bora ili wajipime kama wana ubavu wa kumwondoa Rais Magufuli kwa kura.

(3) Dalili za mvua ni mawingu, wahenga walinena. Tayari viongozi wa upinzani wamekwisha kujiondoa kwenye ulingo wa siasa kwa jinsi wanavyoendesha siasa nchini ambavyo haina tija kwa wapiga kura ili kujitafutia umaarufu wa kisasa. Rais Mahufuli ameweza kuwaonesha wapiga kura tofauti ya SiHasa na Siasa kwa maneno na vitendo.
 
Mhagawanyiko umesababishwa na wanaopinga kila kitu kifanyacho na serikali ya awamu ya tano!kumechangiwa na siasa za ulagai za chadema!! Kumechangiwa na chadema kutaka eti marais wastaff waondolewe kinga na hii ndiyo inayowafanya wapinge kila kitu kinachofanywa na JPM!!.kumesababishwa na chadema na wafuasi wake kuona kila kiongozi Wa CCM ni fisadi!! Kumechangiwa na wapinzani kuona kuwa ni lazima CCm ing' olewe madarakani hata kwa kutumia njia za kilagai!! Kumechangiwa na wafuasi Wa chadema na CCM wavivu Wa kufikiri na kuchambua mambo
 
Back
Top Bottom