kuna source nyingi sana kaka,<br />
<br />
njia mbadala ni jenereta halafu mafuta yako juu kuliko umeme kwani wewe unatumia nini umeme ukikatwa..
nilichukua ka starlet cha m-4
nina mpango wa kuhamia mitaa ya idara ya maji nasikia huku umeme ni 24/7.Siku ile waziri Geresha anasoma ngonjera zake bungeni, mibunge ya CCM ilikalia kungonga meza wakati hotuba yote ilikuwa kamba tupu, Eti mgao umepungua, nikajiuliza au maeneo yetu tu ndo mgao umeongezeka?
Bora wewe Jackbouer umelitambua hili.
Dis country bana?
Wakuu nimechunguza siku moja baada ya bunge kupitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini mgao wa umeme umerejea katika makali yake.kwa wale walioko arusha mnaweza kuelezea jinsi mgao wa umeme ulivyokuwa kuanzia jana (jumapili)
nilichukua ka starlet cha m-4
<br />Wakuu nimechunguza siku moja baada ya bunge kupitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini mgao wa umeme umerejea katika makali yake.kwa wale walioko arusha mnaweza kuelezea jinsi mgao wa umeme ulivyokuwa kuanzia jana (jumapili)
<br /><br /><br />
<br /><br />
sio Arusha tu, hata huku Mwanza mgao ni mkali sana, sijui ndio serikali ya chama cha magamba wameamua kutukomoa!
<br />Wakuu nimechunguza siku moja baada ya bunge kupitisha bajeti ya wizara ya nishati na madini mgao wa umeme umerejea katika makali yake.kwa wale walioko arusha mnaweza kuelezea jinsi mgao wa umeme ulivyokuwa kuanzia jana (jumapili)