ratiba ilikuwepo lakini imevurugwa baada ya bajeti kupita.Heri yenu waunaukata kwa ratiba inayojulilama huku kwetu ROMBO unakatwa na kurudishwa bila mpangilio kana kwamba unatusababishia hasara kubwa ya kuunguliwa na vitu je nikwamba wanakomoa majimbo yanayongozwa na CHADEMA?
Sisi wa line ya magogoni ndogo hatuelewi mgao ni kitu gani.
<br />Pole sana Jackbauer,<br />
Jifunze kutumia ubongo wako vizuri kutafuta njia mbadala za kupata umeme badala ya kutegemea umeme wa Tanesco!
nilichukua ka starlet cha m-4sorry hivi ulikuja kupata gari au nimekumix.
Sikuambii ukawe fundi umeme jack,<br />
mkuu natumia ubongo wangu sana kwenye sekta nyingine nikiamini walioko kwenye sekta ya maamuzi au tuseme sekta ya umeme wanafanya hivyo hivyo,au unataka kuniambia specialization hakuna tena?kama ni hivyo muache kunikata kodi ili nijitafutie umeme mbadala.
Pole sana Jackbauer,
Jifunze kutumia ubongo wako vizuri kutafuta njia mbadala za kupata umeme badala ya kutegemea umeme wa Tanesco!
<br />Pole sana Jackbauer,<br />
Jifunze kutumia ubongo wako vizuri kutafuta njia mbadala za kupata umeme badala ya kutegemea umeme wa Tanesco!
<br />Heri yenu waunaukata kwa ratiba inayojulilama huku kwetu ROMBO unakatwa na kurudishwa bila mpangilio kana kwamba unatusababishia hasara kubwa ya kuunguliwa na vitu je nikwamba wanakomoa majimbo yanayongozwa na CHADEMA?
Sisi wa line ya magogoni ndogo hatuelewi mgao ni kitu gani.
<br />Pole sana Jackbauer,<br />
Jifunze kutumia ubongo wako vizuri kutafuta njia mbadala za kupata umeme badala ya kutegemea umeme wa Tanesco!