Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Ooh well waliwarudisha wenyewe madarakani, wanapata walichostahili.
Ooh well waliwarudisha wenyewe madarakani, wanapata walichostahili.
Leo asubuhi kwenye kipindi cha tuongee tbc wahandisi kutoka tanesco wameutangazia umma kuwa mgao utaendelea mpaka mwisho wa mwaka na ni mgao mkubwa kuanzia saa kumi na mbili mpaka saa ishirini nanne
Wangeshinda uchaguzi chadema leo tungekuwa umeme bwelele toka uchagani? lol!Are you serious?Ooh well waliwarudisha wenyewe madarakani, wanapata walichostahili.
zitto na lissu ni wachaga?Wangeshinda uchaguzi chadema leo tungekuwa na umeme bwelele toka uchagani? lol!Are you serious?
Ooh well waliwarudisha wenyewe madarakani, wanapata walichostahili.
Leo asubuhi kwenye kipindi cha tuongee tbc wahandisi kutoka tanesco wameutangazia umma kuwa mgao utaendelea mpaka mwisho wa mwaka na ni mgao mkubwa kuanzia saa kumi na mbili mpaka saa ishirini nanne
unamaanisha kuwa ccm waliwekwa pale na jamii ambayo haijawahi kuona hata nguzo ya umeme? vipi wabunge waliotoka dsm? na majiji mengine?Mkuu sidhani maana wapiga kura wengi sana hawajui hata umeme nini. Wengine hawajawahi kuona hata nguzo ya umeme.
tuingieni mtaani tuitoe serikali
Ndio maana ya matabaka!!! Kuna mtabaka mengine madai yao kwa serikali yao ni more of basic needs maana umeme hawajawahi hata kuuona?Mkuu sidhani maana wapiga kura wengi sana hawajui hata umeme nini. Wengine hawajawahi kuona hata nguzo ya umeme.