Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Tanzania tumepata pigo baada ya kiwanda cha san flag cha mjini Arusha kuamua kupunguza wafanyakazi 3,000, hii ni baada ya kuwa wanapata umeme saa 6 kwa siku huku wao wakidai mitambo yao huanza kufanyakazi ipasavyo baada ya saa 3-4 baada ya umeme kuwaka hivyo unapo wapa umeme saa sita inamaana wafanyakazi watakuwa wanafanya kazi saa 2 -3.....
View attachment 33885
wito wangu:
...Ngereja boss wako jana kaonyesha njia chondechode ifate usisubiri tukuondoe kwa nguvu
...CHADEMA maandamano lini tumngoe ngereja tunateseka watanzania
View attachment 33885
wito wangu:
...Ngereja boss wako jana kaonyesha njia chondechode ifate usisubiri tukuondoe kwa nguvu
...CHADEMA maandamano lini tumngoe ngereja tunateseka watanzania