Mgao wa umeme: San Flag yapunguza wafanyakazi 3,000

halafu utasikia uchumi wa tanzania unakua wakati unemployment rate inaongezeka
 
Tanzania tumepata pigo baada ya kiwanda cha san flag cha mjini Arusha kuamua kupunguza wafanyakazi 3,000, hii ni baada ya kuwa wanapata umeme saa 6 kwa siku huku wao wakidai mitambo yao huanza kufanyakazi ipasavyo baada ya saa 3-4 baada ya umeme kuwaka hivyo unapo wapa umeme saa sita inamaana wafanyakazi watakuwa wanafanya kazi saa 2 -3.....View attachment 33885wito wangu:...Ngereja boss wako jana kaonyesha njia chondechode ifate usisubiri tukuondoe kwa nguvu...CHADEMA maandamano lini tumngoe ngereja tunateseka watanzania
Yakija maandamano ya kumng'oa ngeleja, mimi jiwe ntakuwa wa kwanza, kwa upuzi wake wa kuleta mgao wa umeme, fal a huyu kanipa umaskini kwan tayari nimecloseup my cafe and stationery, tuhimize maandamano ya kumtoa huyu kungun na faras mkubwa.
 
Kinauma zaidi ni pale waziri anapodanganya mgao ni
masaa kumi mchana na usiku sita lakini sehemu nyingi ni siku nzima.
Hata rais hotuba ya mwezi wa kwanza alidanganya ikifika july tatizo litaisha..............labda limeisha kwake
Ndiyo maana akina Ngereja, Pinda... hawaongopi kuwadanganya watanzania kwasababu ndiyo maelekezo ya boss wao aliyotumia mamilioni ya watanzania kwenye semina elekezi...
 
Yakija maandamano ya kumng'oa ngeleja, mimi jiwe ntakuwa wa kwanza, kwa upuzi wake wa kuleta mgao wa umeme, fal a huyu kanipa umaskini kwan tayari nimecloseup my cafe and stationery, tuhimize maandamano ya kumtoa huyu kungun na faras mkubwa.
Pole sana mkuu....
 
Kwa mara ya kwanza niliposikia Ngeleja kawa waziri nilifurahi kweli maana nilijua ni kijana atafanya kazi kumbe ni hovyo kabisa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom