PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 879
- 956
Kuna taarifa nimesoma mahali juu ya upatikanaji wa maji. Mwaka huu mvua za Vuli hazijanyesha kabisa imeathiri sana upatikanaji wa maji katika mikoa ya pwani na Dar es saalam.
Tatizo lililopo si suala la kiufundi ndiyo maana Mhe. Rais anaharakisha ujenzi wa bwawa la kidunda liwe mbadala wa upatikanaji wa maji na solution ya kudumu kwa Jiji la Dar es salaam.
Taarifa ya mamlaka ya hali ya hewa iliyotoka hivi karibuni inaonyesha mvua kwa mwaka huu zitanyesha chini ya wastani au zinaweza kuchelewa.
Maji tuliyonayo majumbani tuyatumie kitaalam, waambieni jamani dada wa kazi na mashamba boy katika matumizi ya maji.
Mabadiliko ya tabia ya nchi hichi kitu ni balaa.
Tatizo lililopo si suala la kiufundi ndiyo maana Mhe. Rais anaharakisha ujenzi wa bwawa la kidunda liwe mbadala wa upatikanaji wa maji na solution ya kudumu kwa Jiji la Dar es salaam.
Taarifa ya mamlaka ya hali ya hewa iliyotoka hivi karibuni inaonyesha mvua kwa mwaka huu zitanyesha chini ya wastani au zinaweza kuchelewa.
Maji tuliyonayo majumbani tuyatumie kitaalam, waambieni jamani dada wa kazi na mashamba boy katika matumizi ya maji.
Mabadiliko ya tabia ya nchi hichi kitu ni balaa.