Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Wapenda michezo,
Mchezo wa juzi DRFA imeingiza 12m bila jasho.
Naomba kuuliza hawa DRFA wana responsibility gani kubwa ya kuwafanya wapate mgao mkubwa hivi? Je TFF inavitendea haki vyama vya michezo mikoa mingine kama Mwanza,Unguja,Singida nk kwanini huo mgao usigawanywe kwa vyama vyote vya mikoa? Au kwanini Taifa Stars isicheze uwanja wa Gombani Pemba au Kambarage Shinyanga? Najua hamna haki bila wajibu je wajibu wa DRFA kwa maendeleo ya mpira ni nini? Na je DRFA wanafanya huo wajibu wao?
Mchezo wa juzi DRFA imeingiza 12m bila jasho.
Naomba kuuliza hawa DRFA wana responsibility gani kubwa ya kuwafanya wapate mgao mkubwa hivi? Je TFF inavitendea haki vyama vya michezo mikoa mingine kama Mwanza,Unguja,Singida nk kwanini huo mgao usigawanywe kwa vyama vyote vya mikoa? Au kwanini Taifa Stars isicheze uwanja wa Gombani Pemba au Kambarage Shinyanga? Najua hamna haki bila wajibu je wajibu wa DRFA kwa maendeleo ya mpira ni nini? Na je DRFA wanafanya huo wajibu wao?