Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Tunashukuru hali imepungua ya ukali wa mgao,sio haba umeme tunao siku nzima sasa.Ila nashangaa sisikii majadiliano tena kuhusu hali ya umeme wa nchi.Nadhani sio sahihi,tutasababisha hata wakirudi tena bungeni wasilinzungumzie tena,KIPIMAJOTO na wadau wengine leteni mada kuhusu umeme tusiridhike na hali ilivyo!