Serikali kupitia naibu waziri wa nishati na madin imesema kuwa kuanzia sasa mgao wa umeme umeshaisha hadi mwezi january,amesema kuwa hilo limesababishwa na kujaa kwa baadh ya mabwawa na pia kuna kampuni(jina nimelisahau)imeweza kuingza megawati kadhaa kwenye gridi ya TAIFA!
Je hapo ulipo kuna umeme?
Sosi:radio ONE
Je hapo ulipo kuna umeme?
Sosi:radio ONE