Habari kutoka Mtera zinaashiria kuwepo kwa upungufu wa maji ktk mabwawa ya Mtera na Kidatu ifikapo July, kutokana na mvua haba.
Wenye jenereta ni wakati wa kufanya service.
Wazee wa welding tuongeze uzalishaji kipindi hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.