Mgao mkali wa umeme Morogoro mjini

Mgao mkali wa umeme Morogoro mjini

Madale nako mgao umeme umekatika tokea saa 1 usiku
 
Mkuu unaishi Morogoro ipi iyo yenye kukatika katika umeme? Probably ni nyumbani kwako tu ndio kuna shida je umereport tanesco au brake ya kwanza umeamua kuja kulalamika mitandaoni?
 
TANESCO kama kuna mgao wa umeme hapa Mkoani Morogoro basi tutangazoeni tujue ili tukanunue magenereta tu. Kwa muda wa week kadhaa sasa tanesco mmekuwa mkikata umeme karibu mitaa yote kata ya kihonda.

Mathalani kuanzia siku ya ijumaa ya tarehe 18.Dec.2020 kata nzima ya Kihonda haikuwa na umeme.

Leo tarehe 21.Dec.2020, Mazimbu yote na mjini haikuwa na umeme. Leo jioni kuanzia saa 12 kata yote ya kihonda hakuna umeme tatizo ni nini?

Tuambieni tu kama tumerudi kwenye mgao wa umeme ili tujipange kivingine na huu uchumi wa kati.
 
Back
Top Bottom