CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,990
Wanawake akili zao ni za kuchomelea, hivi angepungukiwa nini angekausha na siri yake moyoni?
Hata kama shoga ake angetangaza si anakataa tu ushahidi uko wapi kwan ana ujauzito wa mganga hadi aogope? huyo nae ndimu tu.
Mwanaume nae ndimu,mke wako kaipeleka k Kwa mganga unaenda mfata mganga umpeleke polisi ili iweje?
Mijinaume mingine mi k k k tu,unatembea barabarani unanyooshewa kidole "yule jamaa mke wake kaliwa na mganga" aibu mara 1000,
Mambo ya ndoa hebu malizeni chumbani maana kuyatoa nnje ni kutafuta aibu zaidi na zaidi.
Nawapenda wanawake maana akili zao raha sana kwenye utendaji kazi wake.
Hata kama shoga ake angetangaza si anakataa tu ushahidi uko wapi kwan ana ujauzito wa mganga hadi aogope? huyo nae ndimu tu.
Mwanaume nae ndimu,mke wako kaipeleka k Kwa mganga unaenda mfata mganga umpeleke polisi ili iweje?
Mijinaume mingine mi k k k tu,unatembea barabarani unanyooshewa kidole "yule jamaa mke wake kaliwa na mganga" aibu mara 1000,
Mambo ya ndoa hebu malizeni chumbani maana kuyatoa nnje ni kutafuta aibu zaidi na zaidi.
Nawapenda wanawake maana akili zao raha sana kwenye utendaji kazi wake.