Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,381
- 1,256
Mbona huniulizi?aaah hata wewe umeathirika na lugha mama kauita umeandika kauhita je na wewe ni wa wapi
Mbona huniulizi?aaah hata wewe umeathirika na lugha mama kauita umeandika kauhita je na wewe ni wa wapi
Vyeo vya kupeana, mganga mkuu mkoa - kahama, mganga mkuu ilala- mahita, mganga mkuu temeke - malima ha ha ha wakiumwa nairobi kutibiwa wakifa kuzikwa tanzania. Hivi tanzania ji makaburini?
ni kweli Mkuu ila wakati mauti yanamkuta alikuwa anatibiwa Nairobi nchini Kenya na hadi sasa hivi mipango bado hajajulikana ntawajuza
Wabongo wadarisalama hata hawashtuki!Wako tu RIP!!MGANGA MKUU KUFIA NJE YA NCHI???Wewe kalagabhaho,hohehahe subiri kufa kwa magonjwa yanayotibika kisha tumsingizie MOLA.Darisalama oyee.
Kwanza nitoe pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu.
Pili wadau naomba kuuliza kaswali kadogo, hivi mganga mkuu wa mkoa wa Dsm anapatikana hospitali gani hapa jijini? Mganga mkuu wa manispaa ya Ilala anapatikana hospitali ya Amana, mganga mkuu wa manispaa ya Temeke anapatikana Hospitali ya Temeke na mganga mkuu wa manispaa ya Kinondoni anapatikana hospitali ya Mwananyamala. Huyu mganga mkuu wa mkoa wa Dar es salaam anapatikana/anahudumia katika hospitali gani kwakuwa hakuna hospitali ya mkoa wa Dsm.
Taarifa tulizopokea toka ofisi ya Mkuu wa Nkoa wa Dar es Salaam zinasema kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Jufith Kahama amefariki dunia asubuhi ya leo jijini Nairobi.
Walio karibu na familia ya Dr. Maro watupe uhakika wa taarifa hizi tafadhali.
Pumzika kwa amani Dr. Kahama.
Taarifa tulizopokea toka ofisi ya Mkuu wa Nkoa wa Dar es Salaam zinasema kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Jufith Kahama amefariki dunia asubuhi ya leo jijini Nairobi.
Walio karibu na familia ya Dr. Maro watupe uhakika wa taarifa hizi tafadhali.
Pumzika kwa amani Dr. Kahama.
Kama mwana Dar na Mdau wa Sekta ya Afya nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Dr Kahama. Pole zangu ziende kwa familia yake. Mwenyezi Mungu aiweke roho mahali pema peponi. Amen
Vyeo vya kupeana, mganga mkuu mkoa - kahama, mganga mkuu ilala- mahita, mganga mkuu temeke - malima ha ha ha wakiumwa nairobi kutibiwa wakifa kuzikwa tanzania. Hivi tanzania ji makaburini?
na wa kinondoni je??
malizia basi
Poleni sana wafiwa.Dah pamoja na kuwapa pole wafiwa lakini hii ni aibu. Hivi inakuwaje kila mkubwa anafia nje ya nchi akitibiwa? Ina maana miaka zaidi ya hamsini ya uhuru bado hamna kiongozi mwenye imani na hospital zetu hadi kila mtu akimbilie kutibiwa na kufia nje ya nchi?
Ukiacha viongozi wa kitaifa kama Mkwawa, Kinjekitile, Sina, Abushir, Mirambo n.k tangu kupata uhuru viongozi wengi wanaogopa kutibiwa humu nchini na wengi wanakimbilia kutibiwa ugaibuni na kufia huko ambako huishia kuletwa wakiwa maiti.....wakati umefika mkubali tu kutibiwa humu nchini kama Mandela. Si ndio uzalendo mnatuhimizia sisi wakati nyie wenyewe sio wazalendo.
HAIKUBALIKI
Kwanza nitoe pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu.
Pili wadau naomba kuuliza kaswali kadogo, hivi mganga mkuu wa mkoa wa Dsm anapatikana hospitali gani hapa jijini? Mganga mkuu wa manispaa ya Ilala anapatikana hospitali ya Amana, mganga mkuu wa manispaa ya Temeke anapatikana Hospitali ya Temeke na mganga mkuu wa manispaa ya Kinondoni anapatikana hospitali ya Mwananyamala. Huyu mganga mkuu wa mkoa wa Dar es salaam anapatikana/anahudumia katika hospitali gani kwakuwa hakuna hospitali ya mkoa wa Dsm.
Mganga mkuu wa jiji la Dar alikuwa anaitwa Judith KAHAMA(Sir. George Kahama),Mganga mkuu wa Ilala
ni Asha MAHITA(Omary Mahita),mganga mkuu wa Temeke ni Amani MALIMA(Kigoma Malima),na mganga mkuu
wa Kinondoni ni Bunini KAMBA(Kate Kamba)
unaonaje mganga mkuu wa mkoa kutibiwa nairobi???ndio maana tunadharaulika sana na wakenya.....wadau wa afya boresheni huduma za afya sio kila siku warsha tu....mara mnasoma ma-phd wakati basic health service hamuwezi kutoa...