Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar afariki

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar afariki

Mkoa wa Dar umekuwa na shida sana sana kwenye kutoa huduma sijawahi msikia huyu mtu leo anasikika kwa sababu gani ? P
Anasikika kwa sababu ya umauti uliomkuta lakini kutosikika kwake nafikiri ni udhaifu wa utendaji na hili linaweza kuwa kutokana na kupewa madaraka kwa kujuana kwani Jina lake lawakilisha maana yangu (Sr. George Kahama)
 
RIP Dr Judith Kahama, hivi alikuwa amemaliza PhD yake Uswiss
 
Vyeo vya kupeana, mganga mkuu mkoa - kahama, mganga mkuu ilala- mahita, mganga mkuu temeke - malima ha ha ha wakiumwa nairobi kutibiwa wakifa kuzikwa tanzania. Hivi tanzania ji makaburini?
 
Huyu naye alikuwa na ofisi zake wapi?maana sijawahi kumsikia
 
naomba kujua Dr Maro ni huyu Daktari bigwa wa moyo ambaye ana clinic yake hapa posta? nipeni taarifa ya ufahamu wakuu
Yes na ndiye mme wake marehemu Dr Judith Kahama
 
Mkoa wa Dar umekuwa na shida sana sana kwenye kutoa huduma sijawahi msikia huyu mtu leo anasikika kwa sababu gani ? P

Huyu dada alisoma Masters pale London University sehemu ya Hygiene and Tropical Medicine na nafikiri mpaka sasa alikuwa akifanya PHD kwenye magonjwa ya kitropiki kwenye moja ya nchi za Ulaya.

Alikuwa amesoma lakini kama kawaida nchi yetu inasomesha watu na wengi hawaonekani wanafanya nini, jiji la Dar mpaka kesho limejaa mbu kila kona lakini haijapatikana njia ya kuwadhibiti.

RIP Dr Judith.
 
ni kweli Mkuu ila wakati mauti yanamkuta alikuwa anatibiwa Nairobi nchini Kenya na hadi sasa hivi mipango bado hajajulikana ntawajuza

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alienda kutibiwa Nairobi?
Well, Poleni wafiwa...
 
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam; Dr. KAHAMA. Huyu ni mwanae Mwenyekiti wa Wanawake CCM Dar Mama KAHAMA? Ni mwanae SIR George Kahama? Naomba kujuzwa tafadhali.
 
Vyeo vya kupeana, mganga mkuu mkoa - kahama, mganga mkuu ilala- mahita, mganga mkuu temeke - malima ha ha ha wakiumwa nairobi kutibiwa wakifa kuzikwa tanzania. Hivi tanzania ji makaburini?

tehe tehe! Mkuu wametenga hadi pesa ya kuzikana wakifa. Wanaandaa 'Masaki' ya makaburi
 
tehe tehe! Mkuu wametenga hadi pesa ya kuzikana wakifa. Wanaandaa 'Masaki' ya makaburi


Iandaliwe mara ngapi Mkuu? Labda wanaongeza au kuboresha! Nenda pale Kinondoni makaburi ya First Class kama mlalahoi uone kama utapata kaburi pale.
 
Back
Top Bottom