Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar afariki

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar afariki

Dah pamoja na kuwapa pole wafiwa lakini hii ni aibu. Hivi inakuwaje kila mkubwa anafia nje ya nchi akitibiwa? Ina maana miaka zaidi ya hamsini ya uhuru bado hamna kiongozi mwenye imani na hospital zetu hadi kila mtu akimbilie kutibiwa na kufia nje ya nchi?

Ukiacha viongozi wa kitaifa kama Mkwawa, Kinjekitile, Sina, Abushir, Mirambo n.k tangu kupata uhuru viongozi wengi wanaogopa kutibiwa humu nchini na wengi wanakimbilia kutibiwa ugaibuni na kufia huko ambako huishia kuletwa wakiwa maiti.....wakati umefika mkubali tu kutibiwa humu nchini kama Mandela. Si ndio uzalendo mnatuhimizia sisi wakati nyie wenyewe sio wazalendo.
HAIKUBALIKI
 
ni kweli Mkuu ila wakati mauti yanamkuta alikuwa anatibiwa Nairobi nchini Kenya na hadi sasa hivi mipango bado hajajulikana ntawajuza

Siamini bhana , Mganga Mkuu wa mkoa wa Tanzania anatibiwa Nairobi ! What does it mean ? Basi nawapa pole wafiwa , M/Mungu aiweke roho yake mahali inapostahili .
 
Hakuna hospitali ya uma genye uwezo wa kutoa
mstibabu bora MUhimbili ni vurugu tupu kila mtu anakitengo chake na watu wake kazi majungu badala ya kutoa tiba
 
Rest In Peace my friend and colleague Dr. Judith Kahama!
My sincere condolences to the entire family at this difficult time!
We loved you, but God Loved you more!
 
RIP Mganga mkuu wa mkoa wa Dar. Hivi majukumu yake yalikuwa ni yapi maana ndo anasikika leo baada ya kufa
Kama kawaida; kuhudhuria ma-warsha, kongamano, kuendesha semina, kupokea na kusindikiza mwenge, kuwapokea wakubwa wanaotembelea maeneo yao, kutembelea wilaya zilizo chini ya himaya yake na kusimamia mipango na sera za taifa kama kugawa vyandarua, kusimamia mafungu ya fedha zinazotengwa kwa ajili ya maeneo anayoyasimamia na ni wenyeviti wa kamati za Afya katika Mikoa na wilaya zao!
Hapo hakuna cha tafiti wala kuendeleza uzoefu labda zifanyike juhudi binafsi.
Ni nafasi za ulaji zaidi kuliko taaluma.
 
Hakuna hospitali ya uma genye uwezo wa kutoa
mstibabu bora MUhimbili ni vurugu tupu kila mtu anakitengo chake na watu wake kazi majungu badala ya kutoa tiba

mkuu hebu pitia tena sentensi yako ya kwanza hilo neno umekosea au ni makusudi mana kinyume chake ni tusi
 
... RIP Nganga Nkuu a Nkoa
 
Taarifa tulizopokea toka ofisi ya Mkuu wa Nkoa wa Dar es Salaam zinasema kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Jufith Kahama amefariki dunia asubuhi ya leo jijini Nairobi.

Walio karibu na familia ya Dr. Maro watupe uhakika wa taarifa hizi tafadhali.

Pumzika kwa amani Dr. Kahama.
duh polen but haiingii akilin
 
Back
Top Bottom