B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 375
Mganga mmoja hapa musoma amemrubuni mwanamke mmoja anayeishi makoko kuwa tatizo lake la kutopata mtoto litakuwa historia ikiwa yeye (mganga) atafanya naye tendo la ndoa, mwanamke huyo kabla ya kukubali alimuuliza rafiki yake waliyeenda naye kwa mganga mwanamke huyo akasema amua ww mwenyewe, basi mama huyo akakubali mganga akala mzigo akasema mwezi wa 11 mwaka huu ampe mumewe papuchi na atapata ujauzito, hadi sasa hakuna dalili za ujauzito, sasa rafiki yake ndo anayamwaga mtaani.