Mgana Msindai vs Wilbroad Slaa

Mgana Msindai vs Wilbroad Slaa

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
5,139
Reaction score
1,149
Zipo taarifa kwamba lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida comrade Mgana Msindai (pichani).Kama taarifa hizi ni za kweli,unadhani mzee msindai anao uwezo wa kuvivaa viatu vya slaa na vikamtosha???kama hapana unadhani ni nani anaefaa kumrithi Dr.slaa ambae hakuna dalili zinazoashiria kama atarejea ofisini mapema.

m.jpg


MGANA MSINDAI
 
Hizi taarifa kama ni za kweli....hii itakuwa sio habari njema kwa upande wangu....kumpa nafasi ya Slaa bwana Mgana Msindai ni sawa na kumtusi kamanda Slaa...
 
Zipo taarifa kwamba lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida comrade Mgana Msindai (pichani).Kama taarifa hizi ni za kweli,unadhani mzee msindai anao uwezo wa kuvivaa viatu vya slaa na vikamtosha???kama hapana unadhani ni nani anaefaa kumrithi Dr.slaa ambae hakuna dalili zinazoashiria kama atarejea ofisini mapema.

m.jpg


MGANA MSINDAI
Mimi ninachojua viatu vya Dr Slaa anaweza akavaa mumeo
 
Zipo taarifa kwamba lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida comrade Mgana Msindai (pichani).Kama taarifa hizi ni za kweli,unadhani mzee msindai anao uwezo wa kuvivaa viatu vya slaa na vikamtosha???kama hapana unadhani ni nani anaefaa kumrithi Dr.slaa ambae hakuna dalili zinazoashiria kama atarejea ofisini mapema.

m.jpg


MGANA MSINDAI

We gamba mbona mzushi.
 
Zipo taarifa kwamba lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida comrade Mgana Msindai (pichani).Kama taarifa hizi ni za kweli,unadhani mzee msindai anao uwezo wa kuvivaa viatu vya slaa na vikamtosha???kama hapana unadhani ni nani anaefaa kumrithi Dr.slaa ambae hakuna dalili zinazoashiria kama atarejea ofisini mapema.

m.jpg


MGANA MSINDAI

😳😳😳😳😳 ndio huyu 👆🏼👆🏼👆🏼👆🏼
 
Haya nenda kachukue buku saba yako lumumba
 
Kazi Ya Dr.Slaa Imetukuka,hata CCM Wanajua Hilo.Msindai Anakijua Chama?Acha Uzushi,apewe Hon.J Mnyika
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Kwa siku kadhaa ndani ya mitandao ya kijamii wamachama wa chama cha mapinduzi (CCM) wamekuwa wakilitumia jina langu kwamba eti wamenishawishi kujiunga na chama chao na kuwa siku ya jumapili tarehe 23/08/2015 nitajiunga na chama chao, katika uzinduzi wa kampeni zao

WALIYOYAFANYA.

1. Ni kweli na dhahiri kwamba CCM wamenishawishi kwa fedha na vyeo ili nijiunge na chama chao.
2. Wamewatuma wazee wengi sana kuja kunishawishi akiwemo katibu mkuu wao, mkuu wa usalama wa taifa, wazee wa chama chao nk.

MASWALI YA KUJIULIZA.

1. Kwa nini CCM wananifuata wakati huu na sio wakati mwingine?
2. Je, mbona mwaka 1995 walinitusi sana nilipoamua kuhama CCM, hali kadhalika mwaka 2010?
3. Je, sio kwamba CCM maji ya shingo yamewafikia?
4. Je, kwa nini wananiahidi vyeo vikubwa na mapesa mengi wakati huu na sio wakati mwingine kama wao walitambua kwamba nilistahili kuyapata hayo miaka iliyopita?

TAHADHARI.

1. Kwa hatua hiyo ni kwamba CCM wanatambua kwamba wamepoteza mvuto kwa wananchi hivyo hatuna budi kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM.
2. Sina mpango wala sifikirii kukihama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chini ya mwavuli wa UKAWA.
3. Baada ya CCM kuyaona mafuriko ya ukawa sasa wamegundua kwamba kuelekea uzinduzi wa kampeni zao walitumie jina langu ili angalau wapate watu wengi kwa sababu wanaelewa fika kwamba wamepoteza mvuto (MSIDANGANYIKE).
4. Siwezi kuyasaliti matumaini ya watanzania kwa maslahi yangu binafsi.
5. Hilo ndio goli la mkono wanalolisubiri kwa miujiza (Yesu atakapokuja kwa mara ya pili).

MWISHO.

Nawatakia kila la kheri katika kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM, daima tusife moyo tupo pamoja na tutashinda kwa nguvu ya umma.

Wenu katika ukombozi,
Dr. Wilbrod Slaa,
KATIBU MKUU, CHADEMA.
 
Hizi taarifa kama ni za kweli....hii itakuwa sio habari njema kwa upande wangu....kumpa nafasi ya Slaa bwana Mgana Msindai ni sawa na kumtusi kamanda Slaa...

na baada ya uchaguzi,washinde ukawa,wasishinde,mbowe itabidi ampishe lowasa katika nafasi ya uenyekiti
 
Back
Top Bottom