MGAMBO NA MMASAI(kama ni rushwa hii imezidi)

Kessy Hamisi

Member
Jun 25, 2012
24
8
Kuna mgambo alimkamata mmasai kwa kosa la kukojoa mahali ambapo haparuhusiwi hivyo basi akamtoza mmasai elfu tano,mmsai akatoa elfu kumi kuona vile akamwambia sina chenji we kojoa tena
 
hahaha.....! na kesho ukibanwa na haja kubwa jisaidiee hapa hapa...mgambo noma!
 
Back
Top Bottom