Mfute mwenza wako baada ya kumaliza

Mfute mwenza wako baada ya kumaliza

Mnatakiwa muwe na vitambaa hizi handkerchief special kwa ajili ya kazi hiyo, siwezi kumfuta mume wangu na kanga au mtandio halafu huo mtandio sitauvaa tena??

Lazima kama mwanamke awe na kanga maalum ya kulalia tu kwa wale wasiopenda kulala na nightdress na kipande cha kanga anatakiwa akifiche kinatumika pale bwana akitaka kula mzigo, anatandika chini kuzuia mbegu zisichafue shuka jazia hapo wewe kungwi feki.
Tumieni tishu
 
Hizo nguvu za kumfuta mtoto mama mkwe nazitoa wapi wakati ameshaivuruga papuchi yangu hadi inatoa mvuke wenye jotoridi la 0.0089.

We kuweza? Papuchi yote ndembendembe, uno limetepeta nimejilaza tu kitandani nahisi mpwito wa nguvu kwenye mavuzi.

Ajifute mwenyewe tu kwa kweRi.
 
Huwa unamfuta mwenzako au mkishamaliza kila mtu atajijua.

Hujui kumfuta mwenzako ni kitu kizuri, unaishika unaingeuza huku na huku ukimfuta akiwa ametandaza miguu yake au amenyoosha miguu yake imekufa ganzi huku ikiwa imetela.

Tumia kitambaa laini, kanga au kimtandio sio hilo sweta au t-shirt la mazoezi au kazini. ithamini hiyo sehemu usiifute na linguo lako chafu.
..."ikiwa imetela"...!Maana yake ni nini?
 
Mnatakiwa muwe na vitambaa hizi handkerchief special kwa ajili ya kazi hiyo, siwezi kumfuta mume wangu na kanga au mtandio halafu huo mtandio sitauvaa tena??

Lazima kama mwanamke awe na kanga maalum ya kulalia tu kwa wale wasiopenda kulala na nightdress na kipande cha kanga anatakiwa akifiche kinatumika pale bwana akitaka kula mzigo, anatandika chini kuzuia mbegu zisichafue shuka jazia hapo wewe kungwi feki.
Kanga inazuia shahawa kuchafua shuka?acha ulongo,anyway sikuhizi kuna tishu huna haja ya kwenda kufua kanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom