Mfungwa Lillian aliye Hong Kong

Mfungwa Lillian aliye Hong Kong

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,213
Reaction score
18,455
Dah nimesikiliza mkasa wa huyu binti mdogo aliyekamatwa na madawa ya kulevya nchini Indonesia Mwaka 2017 na kuhukumiwa miaka 18 jela, story yake inasikitisha sana na kuhuzunisha

Kitu ambacho anakijutia zaidi ni kukamatwa wakati akiwa bado hajatimiza ndoto yake ya kumjengea nyumba Mama yake , anadai kama angetimiza ndoto yake hiyo , hiko kifungo kisingemuuma sana Kwani angejua Mama yake yupo sehemu salama ila sio sasa hivi ambapo hajui hata anakula nini na anaishi vipi na hajui kama akitoka atamkuta mama yake yupo hai au yeye mwenyewe kufia jela.

Kilichonivutia zaidi ni ujasiri aliokuwa nao wa kusimulia mkasa huo wa kuogopesha na kutisha bila kuwa na uoga wowote au huzuni.

Mungu amsaidie aweze kutumikia kifungo chake salama na kurudi uraiani

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Asijali Corona ikikolea huko wataachiwa tu huru Kama Iran huko

Sent using Jamii Forums mobile app

Nasikia waliachiwa wafungwa elfu 50 huko indonesia kwa ajili ya corona Ila Bahati mbaya haikua kwa foreigners

Huyo binti alikua anaomba sana serikali ya magufuli iwasaidie waamishiwe Magereza ya Tanzania kwan huko wanateseka sana na kubaguliwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nasikia waliachiwa wafungwa elfu 50 huko indonesia kwa ajili ya corona Ila Bahati mbaya haikua kwa foreigners

Huyo binti alikua anaomba sana serikali ya magufuli iwasaidie waamishiwe Magereza ya Tanzania kwan huko wanateseka sana na kubaguliwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu main heading Hong Kong, content Indonesia!
Kwanini lakini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzetu kila kitu ni kwa malengo, sisi huku tunaiga tuu.
 
Mimi nashauri aendelee na kifungo chake huko huko na aendelee kubaguliwa ba kudhalilishwa ikibidi apangiwe kusafisha vyoo na kula makombo.
Wewe huwa sio mzima unaumwa umasikini na ujinga na bahati mbaya sana ukawa mzaliwa wa Kigoma!!!
.
Iko siku yako, hivi vitu hakuna ambaye huwa anapanga vimtokee, na hata ukikikwepa kama wewe umeandikiwa kuishi jela hakika utaishi kwa namna yoyote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom