St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,639
- 4,526
Karibuni sana mida ya jioni wadau tufuturu......
Karibuni sana mida ya jioni wadau tufuturu......
Asante sana mkuu. Basi tupeane namba.
St. Paka Mweusi uchokozi mwingine haufai kabisa hun.
msimkwaze Mzizimkavu jamani....mie nitakuja ila msimuambie my husband MziziMkavu..lol:sleepy:
Amepika mkeo?
Sasa ndugu yangu Bushbaby naona kama unataka kuanza kuleta Dini kwenye mboga,,,,,
ha ha ha ha .......wewe mchokozi sana Paka Mweusi