Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Tusidanganyane, umeme haujashuka bei, wala maji hayajashuka bei.
Konyagi hazijashuka bei, bia hazijashuka bei (wamepunguza volume )
Ada za shule na vyuo hazijashuka bei, gharama za matibabu hazijashuka.Gharama za gesti, za London, za pedi na chupi hazijashuka.
Mfumuko wa bei umeshuka lakini sukari kilo sh.2,700. mafuta ya kula lita 5 alfu ishirini na tatu, mchele Super Tenende kilo sh.2600.Nauli ziko na bei ile ile ya siku zote
Huo mfumuko umeshuka kwenye bidhaa ipi haswa zaidi ya matikiti maji?
Idara ya takwimu eidha mnaongea uwongo, au Just praise me anatudanganya.
Nitajieni bidhaa likizo shuka bei
Konyagi hazijashuka bei, bia hazijashuka bei (wamepunguza volume )
Ada za shule na vyuo hazijashuka bei, gharama za matibabu hazijashuka.Gharama za gesti, za London, za pedi na chupi hazijashuka.
Mfumuko wa bei umeshuka lakini sukari kilo sh.2,700. mafuta ya kula lita 5 alfu ishirini na tatu, mchele Super Tenende kilo sh.2600.Nauli ziko na bei ile ile ya siku zote
Huo mfumuko umeshuka kwenye bidhaa ipi haswa zaidi ya matikiti maji?
Idara ya takwimu eidha mnaongea uwongo, au Just praise me anatudanganya.
Nitajieni bidhaa likizo shuka bei
